Baada ya viashiria vya kutosha kuwa mitihani yote ambayo ilikuwa imeishafanyika na ambayo ilikuwa haijafanyika kuwa nje kama soft copy naibu makamu wa chuo hicho DVC ARC ameamua kuifuta hiyo mitihani na kuamua itungwe upya na kufanyika upya kuanzia tarehe 16/02/2015,
na ni mitihani ya kumaliza semester ya tano jwa mwaka watatu na tume imeundwa kwa ajili ya uchunguzi kutoka vyanzo vya kuaminika mitihsni hiyo ilitolewa yote kwa CR wa darasa na kusambazwa kwa watu mashuhuri hapo chuoni akiwemo mzee ihonde,
hans kalamba kwa watu wa mjini i meam kwa wanaachuo wa mwaka wa tatu wote wanao kaa lushoto mjini, mlamla kwa watu wa cost, bondeni mafam lucy mlack, mshelemule chibwi joramu kilaza kinachosoma political science, ally rama akiwakilisha watu wa kwa bibi marium,
aloyce akiwakilidha akinamangi na mwangosi
na ni mitihani ya kumaliza semester ya tano jwa mwaka watatu na tume imeundwa kwa ajili ya uchunguzi kutoka vyanzo vya kuaminika mitihsni hiyo ilitolewa yote kwa CR wa darasa na kusambazwa kwa watu mashuhuri hapo chuoni akiwemo mzee ihonde,
hans kalamba kwa watu wa mjini i meam kwa wanaachuo wa mwaka wa tatu wote wanao kaa lushoto mjini, mlamla kwa watu wa cost, bondeni mafam lucy mlack, mshelemule chibwi joramu kilaza kinachosoma political science, ally rama akiwakilisha watu wa kwa bibi marium,
aloyce akiwakilidha akinamangi na mwangosi