Dondosha utabiri wako kuelekea fainali ya ligi ya mabingwa ulaya(2020-2021) Kati ya Chelsea na Man city itakayopigwa terehe 29 mwezi huu wa 5 katika dimba la Attaturk Olympic stadium huko Instanbul Uturuki.
Pia Kuna wanaosema Chelsea ni underdog kwa Man city nao waje watupe sababu zao hapa.
Pia Kuna wanaosema Chelsea ni underdog kwa Man city nao waje watupe sababu zao hapa.