- Thread starter
- #121
Jamaa yupo mapangoni aisee [emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamaa yupo mapangoni aisee [emoji23][emoji23]
Wamekuangusha mkuuCity hawatatuangusha
Atatoka tuJamaa yupo mapangoni aisee [emoji23][emoji23]
Jamaa anachambua soka kwa kuongozwa na chuki tu, acha asoteJamaa yupo mapangoni aisee [emoji23][emoji23]
Nikiwa kama mdau wa Liverpool. Naamini Chelsea atabeba ndoo
Mission accomplished!Nikiwa kama mdau wa hizo timu zote, nasimama na wewe
Mkuu ulitabiri vyema sana, wananchi wamemiliki mpira, ndoo wameisikilizia kwa jirani.Jana city 5-0 everton
Villa 2-1 chelsea
Twote walkua na vikosi vya maangamizi yaani ile first eleven ya uhakika City watakua na possession kubwaa ila ze bluuz watakua na Tactics nyingi mwisho wa siku watachukua ndoo[emoji91] kama namuona kante atavyoupiga mwingi pale kati
Naam, hatujafungwa na Kante kawa player of the matchKumbe Ngolo Kante ndio mungu wenu, mnaamini akiwepo yeye hamfungwi!!
Ile Chelsea ukimzuia Havertz na Mason Mount kwisha kazi, .
Akiskia njaa huko mapangoni atatoka tu [emoji3]Atatoka tu
Hapo ndo alipofeli
Kante legendNaam, hatujafungwa na Kante kawa player of the match
The end justify the meansLakini tukumbuke kua, ushindi wa Chelsea fainali hauondoi ubora alionao pep. Maan nimeona kuna wana michezo wanzangu wanambeza mwamba.
PtuuuuhhhCity kafanya rotation wachezaji 9, Chelsea 5, bado refa kawanyima City penalti na Aguero kuonesha dharau aliyonayo kwa Chelsea akaamua kuwapa zawadi ile penalti yake, tar 29 ndio mtajua Man City ni jini gani.
Kimoja tuu cha nguruweCity 4 .Chelsea 1.
[emoji122][emoji122] bingwaaaaaKimoja tuu cha nguruwe