Kujipa matumaini ni vizuri piaHii game nyepesi sana kwa R.madrid
Fainali ya UEFA 2014
HahahaOblak kama De Gea vle
Haya mkuu tukutane baada ya mechi.!Japo mi Real lakini kwa jinsi hawa madogo wanavyopigana kuwa fair tu,hata nao wakinyanyua kwapa mara moja itakua kifuta jasho kwao.Tukutane baada ya mechi...yeyote atakayeshinda anastahili
Kujipa matumaini ni vizuri pia
UshafailHakutokuwa na card,goal litapatikana 1st half na ndio litakalokuwa la ushindi,real madrid
Haya hongeraHiyoooooooooo........Real Madrid......
Haya hongera