UEFA champions league : Coincidence au ni kweli dunia inaendeshwa na binadamu..

Liver akichukua ubigwa Papa ajiandae kisaikolojia, kabla mwaka haujaisha
 
1958 madrid bingwa CL
1968 miaka 10 baadae Man u Bingwa
1978 miaka 10 baadae Liver bingwa
..
..
1998.Madrid bingwa Cl
2008 miaka 10 baadae Man u bingwa
2018 miaka 10 baadae..???? Mnajua nini kitatokea
 
Hizo ramli zako zinafanya kazi Ulaya tu? Mbona ligi ya TZ huwa hamtabiri hivyo?
 
Mimi mkuu sipingani na wewe kabisa... Hii dunia kuna vitu hata mimi sivielewi kabisa kuna watu wanaiendesha dunia... Nilikuwa naingia deep web.. Mambo niliyoyakuta kule nimeamua kuacha kuingia aisee... Dunia ina siri kubwa sana...hizi vita vita hazitokei bahati mbaya... Matukio makubwa pia hayatokei kibahati
 
SIO DUNIA NZIMA MKUU,MIE PIA NIPO UPANDE WA LIVERPOOL KUSHINDA NA KUTWAA UBINGWA,SIJAIONA TIMU YA KUMSHINDA LIVERPOOL KWA ILIPOFIKIA..
Timu za kumshinda liverpool zilishatolewa zote na Madrid plus na ile iliyotolewa na Roma pia, unabisha?
 
1958 madrid bingwa CL
1968 miaka 10 baadae Man u Bingwa
1978 miaka 10 baadae Liver bingwa
..
..
1998.Madrid bingwa Cl
2008 miaka 10 baadae Man u bingwa
2018 miaka 10 baadae..???? Mnajua nini kitatokea
Nashukuru mkuu niliisahau hii nimeiongeza hapo juu..
 
Hio deep web naingiaje mkuu?
 
LIVERPOOL mabingwa msimu huu, hutaki kanye mkuki *****, [HASHTAG]#YNWA[/HASHTAG]
 
Ntatia stake tembo cku hyo kwa Liverpool
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…