stoppa
Member
- Aug 28, 2013
- 22
- 27
Na mwaka 1981 fainali ilkua ni Tottenham vs man city..spurs akawa bingwa..Na mwaka 2005 fainali ya FA ilikuwa timu ya London vs Manchester utd...na man u alifungwa
2018 Fainali ya FA ilikuwa timu ya london vs Mancheter utd na Man U amefungwa jana.