Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Walizembea ktk harakati za kupambana ili waongoze kundi lao. Kitendo cha wao kushindwa kuwafunga Benifica timu ya kawaida hakika mbele ya Jamali Musiala kila rangi wataiona.Dah PSG hili kombe sijui atalibeba lini kwa mwendo huu.......anyway Mpira unadunda
Cha Moto watakipata😂😂😂Walizembea ktk harakati za kupambana ili waongoze kundi lao. Kitendo cha wao kushindwa kuwafunga Benifica timu ya kawaida hakika mbele ya Jamali Musiala kila rangi wataiona.
Watakutana na pira gwaridePsg si wamesajili wanapaka poda ngoja wakutane na mziki wa Adolf Hiltler.hapo ndo mwisho wao.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pira paredi mgoo wa shingo mguu wa roho.Watakutana na pira gwaride
Ila psg anakikos kizur Tu cjui wanakwama wapi sema shida n kukaza mastar sehemHakika, wale jamaa kwenye kazi yao hawataki mazoea, kawaulize Barca watakupa habari zao.
Akichomoka hapa nmekaa paleee nakula ovacadoNaona Man u kayakanyaga, amekutana na Nyati aliyejeruhiwa
Hawana timu ila wana wachezaji bora.Ila psg anakikos kizur Tu cjui wanakwama wapi sema shida n kukaza mastar sehem
Moja ndo inawagarimu yan neyma,mess,mbappe na wote wanataka kushine the same time
Buyern Munich vs PSG = 50%/50% to pass at the next stage.Fc Bayern safari imewakuta
Man City huwa anachezeshaga karata nnje ya uwanja nini?Timu zenye uhakika hapo ni manchester city, benfika, napoli
Nakuunga mkono, hata PSG ana nafasi pia ya kupindua matokeo wasiibeze sana.Akili inaniambia liver atapenya.
Chelsea hata tungepewa Makolokolo FC bado tungetoka tu, hakuna timu yoyote yenye ushindani pale na Majeruhi tele zaidi ya 8Chelsea washindwe wenyewe!
Liverpool na PSG wameingia kwenye 18 za mtu mbaya Mandonga! Safari yao itaishia kwenye hatua hii ya 16 bora.
Man city wataingia robo fainali kiulaini tu kwa kushinda nyumbani na ugenini.