Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani majeruhi ni kwa Chelsea tu, timu nyingi zina majeruhi kwasbb ni sehemu ya mchezo, sema Chelsea hatuna kocha wakwetu bado anafanya majaribio ya mfumo.Chelsea hata tungepewa Makolokolo FC bado tungetoka tu, hakuna timu yoyote yenye ushindani pale na Majeruhi tele zaidi ya 8
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Liver anapigwa tenaLiver na Madrid ni wasaa mzuri wa kulipana visasi.
Madrid ni wa moto sanaLiverpool wanawatwanga Madrid mapema ila yule dogo nunez na Alexander Arnold wanatakiwa waanzie benchi maana wana utoto mwingi sana kama mechi ya jana dhidi ya totenham kama ni kwa Madrid liverpool angekufa nyingi sana ila bado liverpool ana nafasi ya kumuondoa Madrid.
Unajua mwaka jana Liverpool alipangiwa na timu gani mpaka kufika final uefaMan City huwa anachezeshaga karata nnje ya uwanja nini?
Kwanini kila hatua hizi hupangwaga na vitimu rojo rojo tu kwenda robo fainali ya UEFA CHAMPIONS LEAGUE?
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Man city itaendelea kukutesa maisha yako yote [emoji23]Umewaza kama mimi, natamani hicho kitu kisitokee ili Man City asichukue ubingwa wa UEFA champions league 2022/2023
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Huwez kubahatisha kila siku, kila fainali.. ile timu inao uwezo kuliko timu zote za ulaya. Ukiweka ushabiki utaona naongea utumbo, ila ukiangalia kwa jicho la ufundi utaona nnachosema ni naked truth kwa asilimia 90+Inawezekana, Madrid hana maajabu sana ila ana bahati
Kwamba?Afadhali man city sahzi tunapumzika kidogo duh
Kwa hiyo liver wapigwe tu?Huwez kubahatisha kila siku, kila fainali.. ile timu inao uwezo kuliko timu zote za ulaya. Ukiweka ushabiki utaona naongea utumbo, ila ukiangalia kwa jicho la ufundi utaona nnachosema ni naked truth kwa asilimia 90+
Liver anahitaji mbinu mbadala kuzuia zile counter attack za mdrid, vinginevyo anapandiwa tena kichwani.Liver na Madrid ni wasaa mzuri wa kulipana visasi.
RB sio wabovu, Kwa aina ya mfumo wa Pep wanauwezo wa kuchangaza wengi.RB Reipzig kaangukia mikononi mwa Haaland
Messi mpaka aseme ukweli Ile balon d' O Alochukuwa wakati alistihili Lew's ni kwann alifanya hivyo.psg hapo wanaaga