Safarii hii naliona kombe likisalia German
- Paris Saint-Germain vs Bayern Munich
- Inter Milan vs FC Porto
- Borussia Dortmund vs Chelsea
- Eintracht Frankfurt vs Napoli!
- AC Milan vs Tottenham
- Liverpool vs Real Madrid
- Club Brugge vs Benfica
- RB Leipzig vs Manchester City
Si kweli babu nakuahakikishia kuwaChelsea washindwe wenyewe!
Liverpool na PSG wameingia kwenye 18 za mtu mbaya Mandonga! Safari yao itaishia kwenye hatua hii ya 16 bora.
Man city wataingia robo fainali kiulaini tu kwa kushinda nyumbani na ugenini.
Benfica ya msimu huu sio ya kawaida kabisa. Hayo matokeo waliyopata PSG walistahili kabisaWalizembea ktk harakati za kupambana ili waongoze kundi lao. Kitendo cha wao kushindwa kuwafunga Benifica timu ya kawaida hakika mbele ya Jamali Musiala kila rangi wataiona.
Kojoa ulaleSi kweli babu nakuahakikishia kuwa
Man City anakwenda na maji mapema San kipara kila timu zimeshamsoma
Livapunga afike huko anatafuta nini?Natabiri fainali ni kati ya Liverpool Vs Mancty
Kuwa na adabu we Kolowizard, umechukulia mfano wa mwaka mmoja tu, mbona hujachukulia rekodi tangu 2016 - 2022?Unajua mwaka jana Liverpool alipangiwa na timu gani mpaka kufika final uefa
Round ya 16 uefa
Porto
Robo finali uefa
Benifica
Semi final uefa
Villarreal
Akafika final ya uefa
Real Madrid
Lakini wewe kilaza haukuja kusema Liverpool anabebwa lakin kwa vile ni man city unaanza kuleta uharo wako [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kolo wewe
Tangu lini timu ya watoto wa miaka ya 2000 ikatesa timu za wakongwe wa miaka ya 70 kama Chelsea, Real Madrid [emoji848][emoji1787]Man city itaendelea kukutesa maisha yako yote [emoji23]
Bayern, Chelsea na cityTimu zenye uhakika hapo ni manchester city, benfika, napoli
Niombe radhi kunipakazia timu za ajabuajabu
Wewe ni mjinga tu hakuna timu inayofika final CL haijacheza na timu kubwa .....Kuwa na adabu we Kolowizard, umechukulia mfano wa mwaka mmoja tu, mbona hujachukulia rekodi tangu 2016 - 2022?
PUMBAVU...[emoji16]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Hiyo miaka ya 70 sikuwepo na Mimi nafuatilia kitu nachokiona , sio historia ....historia natakiwa kuiandika Mimi ....Tangu lini timu ya watoto wa miaka ya 2000 ikatesa timu za wakongwe wa miaka ya 70 kama Chelsea, Real Madrid [emoji848][emoji1787]
Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
Achana na hao Vasco da gama fcHiyo miaka ya 70 sikuwepo na Mimi nafuatilia kitu nachokiona , sio historia ....historia natakiwa kuiandika Mimi ....
Liver Hana kikosi Cha kumfunga real Madrid. Atapigwa nje ndani. Tena kwa idadi kubwa ya magoliLiverpool wanawatwanga Madrid mapema ila yule dogo nunez na Alexander Arnold wanatakiwa waanzie benchi maana wana utoto mwingi sana kama mechi ya jana dhidi ya totenham kama ni kwa Madrid liverpool angekufa nyingi sana ila bado liverpool ana nafasi ya kumuondoa Madrid.
Kijana niache basi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Uingereza unashabikia timu gani?
Hivi kwanini hii hali mnaichukulia kwa upande mmoja tu kwamba Liverpool na PSG wanajuta. Lakini hata Real Madrid na Bayern Munich pamoja na kuongoza kundi lakini hiki walichopangiwa haiwapi kicheko hata kidogo kwasababu game ipo 50/50Kupitia hii draw Kuna umuhimu mkubwa Sana kumaliza nafas YA Kwanza kwenye group, PSG Na Liverpool wanajuta.