cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
NakaziaaaaaaCity bingwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NakaziaaaaaaCity bingwa
Yani cocs na uzuri wote huo unashabikia City? 😀Na tutambonda Madrid km kawaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Ana asilimia kubwa lakini hiyo sio hakika, mpira una matokeo yake ya kushangaza hasa kwa timu tunazozitarajia makubwa.Tunaweza kusema mvua itanyesha kwa kuangalia wingu, sasa kwa njia aliyopewa liver kuto kucheza fainali ndio itakuwa ajabu, sisemi 100% kuwa liver anacheza fainali but ana % kubwa ya kucheza fainali kwa upande aliowekwa ukilinganisha na wenzie
Madrid huko waliko hawana Amani kabisaaa kupangiwa cityNa tutambonda Madrid km kawaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]
Hatimaye umeshuhudia mwenyewe Bayern Munich na Real Madrid wamesonga mbele.Experience haina uzito huo... huwezi kutana na wale watoto wa Arsenal wanakimbia muda wote halafu useme wewe utawafunga kwa experience wakati form yako mbovu, hili halipo.
Hao R. Madrid unaosema wana experience mbona last season walikalishwa na Man City?!
Form ndio kila kitu kwenye mpira.
Ilikuwa sawa mkuu.Huu uzi ubaki kama reference, Arsenal hata acheze mechi 20 na Bayern Munich hawezi kufurukuta
Penati penati huwa ni 50-50 aiseeHatimaye umeshuhudia mwenyewe Bayern Munich na Real Madrid wamesonga mbele.
Arsenal na Man City bado ni underdog team linapokuja swala la UEFA.
arsenal hata miaka 30 ijayo hawatabeba Uefa.Huu uzi ubaki kama reference, Arsenal hata acheze mechi 20 na Bayern Munich hawezi kufurukuta
TImu kibao tu barca namashaka kama atagusa tena lile kombearsenal hata miaka 30 ijayo hawatabeba Uefa.
wamkabidhi madrid kabis kombe lake. wale watoto wake pale wana moto wa nyika.TImu kibao tu barca namashaka kama atagusa tena lile kombe
Legacy kubwa sana pale kila mtu anataka kwenda palewamkabidhi madrid kabis kombe lake. wale watoto wake pale wana moto wa nyika.