Philipo D. Ruzige
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 9,428
- 27,096
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umri na majukumuHii michuano siku hizi sifatilii kabisa, maisha yanabadilika
Hapa Barcelona atapitaBarcelona Vs Psg [emoji118]hawa wote wagonjwa mtambuka.
Anything can happen wana nguvu sawaHapa Barcelona atapita
hakika psg ndio wagonjwa zaidi.Hapa Barcelona atapita
Man city anapitia wapi?1 Uefa bingwa - Man city
2. Europa bingwa - Liverpool
3. Uefa conference bingwa - Aston Villa
Away anashinda 1 bila au sare, nyumbani Madrid anapigwa kama ngoma kama alivyochakazwa msimu uliopita.Man city anapitia wapi?
huyo man city wa sasa ambae anasumbuliwa na arsenal vipigo 2x Liverpool draw against injury men and young bloodsAway anashinda 1 bila au sare, nyumbani Madrid anapigwa kama ngoma kama alivyochakazwa msimu uliopita.
Naomba save hiyo comment yangu, mwezi ujao tukijaliwa uzima uje uangalie nani ataenda nusu fainali.
Sijaifananisha na ile ila sio mbovu kiasi hicho ya mechi kuwa rahisi kwa arsenal.Yaani unaifananisha Bayern ya Ribery Ruben,Lewandosk,Dogolas Costa na hii...... ambayo msimu huu tu Liverkunsen anaweza akachukua ubingwa mechi tano mkononi. Arsenal ashindwe mwenyewe,Bayern sasa hivi wanajitafuta wanajenga timu.
Yaani liver hachezi fainali?Final
Marseile vs Roma
Uwezo huo hanaYaani liver hachezi fainali?
Hujui mpira weweUwezo huo hana
We unaejua mpira nipe matokeo sahihi ya azam vs Yanga.Hujui mpira wewe
Tunaweza kusema mvua itanyesha kwa kuangalia wingu, sasa kwa njia aliyopewa liver kuto kucheza fainali ndio itakuwa ajabu, sisemi 100% kuwa liver anacheza fainali but ana % kubwa ya kucheza fainali kwa upande aliowekwa ukilinganisha na wenzieWe unaejua mpira nipe matokeo sahihi ya azam vs Yanga.
Unajua prediction ni nini?
Sio lazima nilichokisema kiwe, vipi huyo liverpool asipofika fainali itakuaje?
Hakuna yeyote anaejua uhalisia wa matokeo, tunafanya prediction tu kuwa itakuwa hivi au vile ikitokea ni sahihi au sio sahihi ni sawa pia.
Uje na matokeo ya hiyo mechi ya leo kama unaujua mpira vizuri alafu tukutane baada ya mechi kuisha.
Na tutambonda Madrid km kawaaaa. [emoji23][emoji23][emoji23]City akikutana na Madrid kwenye raundi hii itapendeza sana