UEFA Champions League: Droo ya Robo & Nusu Fainal Ijumaa Saa 9:00 Alasiri

UEFA Champions League: Droo ya Robo & Nusu Fainal Ijumaa Saa 9:00 Alasiri

Kwahiyo unategemea upepo sio form ya timu kwa wakati husika, unaponiambia timu inaweza kuwa na form mbovu nyumbani lakini UEFA wakafanya vizuri.

Hao Bayern game yao ya kwanza last 16 walipigwa na Lazio, kibonde kabisa kwenye ligi ya Italy, sasa kwanini Bayern asingetumia historia yake UEFA kumfunga Lazio away kama mnaamini kwenye historia kuamua matokeo?

Ndio maana nawaambia na bado nitaendelea kuwaambia, Bayern Munich ya sasa haina maajabu, labda utokee upepo tu wa kimpira, lakini kama ni kuweka kabumbu chini, nampa Arsenal nafasi kubwa kumtoa Bayern M.

Kama Arsenal akiutumia vizuri uwanja wa nyumbani, namuona Bayern M akila tano au sita wala sitashangaa, zikipungua sana tatu. Tuchel ameishiwa mbinu kwenye ligi hizo za UEFA atazipata wapi? yule anatembea na upepo tu, Bayern hawana chemistry.
Punguza maelezo mengi Arsenal hawezi kumtoa Bayern Munich hata iweje
 
Arsenal kuwa top of EPL itself deserves lots of credit. Arsenal yupo juu ya Liverpool na Man City ile sio accident ni form..

Nyie watu muwe na heshima kidogo, msilete habari zenu za historia hapa.
 
Arsenal kuwa top of EPL itself deserves lots of credit. Arsenal yupo juu ya Liverpool na Man City ile sio accident ni form..

Nyie watu muwe na heshima kidogo, msilete habari zenu za historia hapa.
Arsenal hii iliyo pita kwa mbinde mbele ya Porto ya mzee Pepe?
 
Arsenal kuwa top of EPL itself deserves lots of credit. Arsenal yupo juu ya Liverpool na Man City ile sio accident ni form..

Nyie watu muwe na heshima kidogo, msilete habari zenu za historia hapa.
Wew Nenda kakojoe ulale tu maana unatuletea utoto wako apa unahisi kila mtu ni mtoto mwezako
 
Daah mpira hauko hivyo mkuu, Bayern anaweza akawa anapigwa na hizo timu ila akakutana na Arsenal ukawa mchezo tofauti
Bayern kali ni ile ya Ribery,Dogolas Costa,Lewandoski na Ruben.Ila hii haina ukali wowote ile ndio ilikuwa Bayern inatisha.Ila hii ya sasa Arsenal ashindwe mwenyewe.

Liverkunsen mwenyewe kuna uwezekano mkubwa akachukua ubingwa akiwa na mechi tano mkononi.
 
Wanachambua kimahaba wanasahau huyo bayern ni timu ambayo huwa inatuangushia kipigo kikali sana ndani ya UEFA.
Kwangu hii mechi haitokuwa rahisi.
Yaani unaifananisha Bayern ya Ribery Ruben,Lewandosk,Dogolas Costa na hii...... ambayo msimu huu tu Liverkunsen anaweza akachukua ubingwa mechi tano mkononi. Arsenal ashindwe mwenyewe,Bayern sasa hivi wanajitafuta wanajenga timu.
 
Bayern kali ni ile ya Ribery,Dogolas Costa,Lewandoski na Ruben.Ila hii haina ukali wowote ile ndio ilikuwa Bayern inatisha.Ila hii ya sasa Arsenal ashindwe mwenyewe.

Liverkunsen mwenyewe kuna uwezekano mkubwa akachukua ubingwa akiwa na mechi tano mkononi.
Watanzania bhana
 
IMG_0295.jpeg
 
Bayern kali ni ile ya Ribery,Dogolas Costa,Lewandoski na Ruben.Ila hii haina ukali wowote ile ndio ilikuwa Bayern inatisha.Ila hii ya sasa Arsenal ashindwe mwenyewe.

Liverkunsen mwenyewe kuna uwezekano mkubwa akachukua ubingwa akiwa na mechi tano mkononi.
Hii Arsenal ya sasa hivi imefanya kitu gani cha maana?
 
Back
Top Bottom