Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Kaka naangaliaga movie za kina lufufu, Murphy, six finger na dj macki🤓🤣Kile kile cha movie kaka 😃
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaka naangaliaga movie za kina lufufu, Murphy, six finger na dj macki🤓🤣Kile kile cha movie kaka 😃
FinalCONFERENCE
View attachment 2935446
Kasema ungenge shida sasa anaangaliaje movieHuyo hataki kazi we muache aendelee kuteseka 😂😁😁
Punguza maelezo mengi Arsenal hawezi kumtoa Bayern Munich hata iwejeKwahiyo unategemea upepo sio form ya timu kwa wakati husika, unaponiambia timu inaweza kuwa na form mbovu nyumbani lakini UEFA wakafanya vizuri.
Hao Bayern game yao ya kwanza last 16 walipigwa na Lazio, kibonde kabisa kwenye ligi ya Italy, sasa kwanini Bayern asingetumia historia yake UEFA kumfunga Lazio away kama mnaamini kwenye historia kuamua matokeo?
Ndio maana nawaambia na bado nitaendelea kuwaambia, Bayern Munich ya sasa haina maajabu, labda utokee upepo tu wa kimpira, lakini kama ni kuweka kabumbu chini, nampa Arsenal nafasi kubwa kumtoa Bayern M.
Kama Arsenal akiutumia vizuri uwanja wa nyumbani, namuona Bayern M akila tano au sita wala sitashangaa, zikipungua sana tatu. Tuchel ameishiwa mbinu kwenye ligi hizo za UEFA atazipata wapi? yule anatembea na upepo tu, Bayern hawana chemistry.
Hizo dramacool hazipo😃😃😃🤣Kaka naangaliaga movie za kina lufufu, Murphy, six finger na dj macki🤓🤣
Arsenal hii iliyo pita kwa mbinde mbele ya Porto ya mzee Pepe?Arsenal kuwa top of EPL itself deserves lots of credit. Arsenal yupo juu ya Liverpool na Man City ile sio accident ni form..
Nyie watu muwe na heshima kidogo, msilete habari zenu za historia hapa.
Wew Nenda kakojoe ulale tu maana unatuletea utoto wako apa unahisi kila mtu ni mtoto mwezakoArsenal kuwa top of EPL itself deserves lots of credit. Arsenal yupo juu ya Liverpool na Man City ile sio accident ni form..
Nyie watu muwe na heshima kidogo, msilete habari zenu za historia hapa.
Bora Madrid walivyo mpa Man City watajuana wenyewe.
Bayern kali ni ile ya Ribery,Dogolas Costa,Lewandoski na Ruben.Ila hii haina ukali wowote ile ndio ilikuwa Bayern inatisha.Ila hii ya sasa Arsenal ashindwe mwenyewe.Daah mpira hauko hivyo mkuu, Bayern anaweza akawa anapigwa na hizo timu ila akakutana na Arsenal ukawa mchezo tofauti
Yaani unaifananisha Bayern ya Ribery Ruben,Lewandosk,Dogolas Costa na hii...... ambayo msimu huu tu Liverkunsen anaweza akachukua ubingwa mechi tano mkononi. Arsenal ashindwe mwenyewe,Bayern sasa hivi wanajitafuta wanajenga timu.Wanachambua kimahaba wanasahau huyo bayern ni timu ambayo huwa inatuangushia kipigo kikali sana ndani ya UEFA.
Kwangu hii mechi haitokuwa rahisi.
Yaani unachambua mpira based on mechi moja? Vp mechi nyingine alizo shinda mbele ya Man City na Liverpool na kudroo pale Anfield.Arsenal hii iliyo pita kwa mbinde mbele ya Porto ya mzee Pepe?
Watanzania bhanaBayern kali ni ile ya Ribery,Dogolas Costa,Lewandoski na Ruben.Ila hii haina ukali wowote ile ndio ilikuwa Bayern inatisha.Ila hii ya sasa Arsenal ashindwe mwenyewe.
Liverkunsen mwenyewe kuna uwezekano mkubwa akachukua ubingwa akiwa na mechi tano mkononi.
Itakuwa anaangalia zilizowekwa maneno ya kiswahili na ma djKasema ungenge shida sasa anaangaliaje movie
Hii Arsenal ya sasa hivi imefanya kitu gani cha maana?Bayern kali ni ile ya Ribery,Dogolas Costa,Lewandoski na Ruben.Ila hii haina ukali wowote ile ndio ilikuwa Bayern inatisha.Ila hii ya sasa Arsenal ashindwe mwenyewe.
Liverkunsen mwenyewe kuna uwezekano mkubwa akachukua ubingwa akiwa na mechi tano mkononi.
Huwa nadanganya tu, kwani drama cool ndo nini huko daslam🤓🤓Hizo dramacool hazipo😃😃😃🤣
Huwa nadanganya tu, kwani drama cool ndo nini huko daslam🤓🤓Hizo dramacool hazipo😃😃😃🤣
Huu uzi ubaki kama reference, Arsenal hata acheze mechi 20 na Bayern Munich hawezi kufurukutaYaani unachambua mpira based on mechi moja? Vp mechi nyingine alizo shinda mbele ya Man City na Liverpool na kudroo pale Anfield.