Uefa Champions League: Je Arsenal na Barca watapindua matokeo?

Uefa Champions League: Je Arsenal na Barca watapindua matokeo?

b31da5de-99bf-4bd7-9c31-cd5f976567b8.png
 
Miongoni mwa swali jepesi nililokutana nalo jf leo hii ni hili ila Mussolin5 kuuliza maswali ya kichochezi hivi sio vizuri ujue jirani hali yake tete
 
Kitendo cha Barca kuamua kushambulia kwa fujo mwanzo mwisho ili atafute goli 5 ni sawa na mtu aliye uchi anayeamua kuficha uchi kwa mikono matokeo take makalio(beki) yatabaki wazi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata Barca hawavuki bali wanaweza kushinda tu
 
Back
Top Bottom