Aiseee, atakuwa kalishikilia kabisaEndelea kujipa moyo huku ukiwa unatumia bomba
Ni-PM au nicheki kwa 0764453848, vipo vya kutoshaking'amuzi cha Canal+ nakipata wapi hapa dar na ni bei gani?
Weka hapa bei zako na location yako unaweza pata wateja wengi zaidi.Ni-PM au nicheki kwa 0764453848, vipo vya kutosha
Azam hawaonyeshi uefaJamaa wanajitahidi sema wanazidi kupigwa za uso na Azam malipo yao sio rafiki kwa wengi
Mkuu DStv wanalipa Hela ndefu kuonyesha hio mipira na cost inabidi tulipe sisi wateja wa DStv.Wakuu wa jukwaa, kama mnavyofahamu kesho ndio kesho. Usiku wa Ulaya unaanza kwa msimu huu. Mimi nimekuwa mdau wa mpira kwa muda mrefu, ila hawa Dstv wanakwama wapi? Mbona wenzao Canal+ wako na bei poa kwenye vifurushi vya soka.
Ili uweze kuona Mechi nyingi na unazotaka za Ligi ya Mabingwa Ulaya kwenye Dstv ni lazma uwe na kifurushi cha Compact Plus ambacho ni 84,000 wakati kwenye Canal+ ni mwendo wa kifurushi cha 40,000 tu unachagua utazame mechi unayotaka.
Siwapondi Dstv ila Wale mliolipa elfu 44 yaani compact mkitegemea mtapata mechi za Uefa poleni sana, bado mkaburu anajua kutunyonya. Kama hamjali lugha ya kifaransa tafuteni Canal+ mle maisha.
Kizuri kula na ndugu yako, kazi ni kwenu.
View attachment 1209222View attachment 1209223
Sio serikali Inayoamua Ni ligi ya Uingereza (sky sport, ama kampuni nyengine Kama mashindano Ni tofauti). Na hata beIN ama canal walionunua hizo haki za Africa wao pia itawalazimu kupandisha Bei kutokana na uchache wa wa Africa kwenye kulipia.Dawa ya dstv hapa Tanzania ni serikali iruhusu soko huria. Wawape ruhusa Canal na bein sport wafanye kazi kisheria. Hapo wenyewe watashusha bei. Haiwezekani Nigeria walipe elfu 50 za kibongo kifirushi cha premium
Nimekusoma mkuuMkuu DStv wanalipa Hela ndefu kuonyesha hio mipira na cost inabidi tulipe sisi wateja wa DStv.
Hela wanayolipa Ni fixed hivyo idadi ya wateja ndio inayoamua kiasi gani wacharge, ikitokea kusini mwa jangwa la Sahara kila mtu akaweka DStv Basi wanaweza hata kucharge chini ya 30,000 kuangalia mpira.
Canal+ Ni part ya Vivendi Ina subscribers milioni 16, Kila mtu akilipa hata 10,000 kwa mwezi tayari hio inakaribia trilioni 2 kwa mwaka, kwao Ni rahisi kumudu kulipia vitu Kama Epl na Uefa.
DStv wao Wana 7.7m subscribers hawafiki hata nusu ya hao jamaa, hivyo inabidi wacharge Hela kubwa kuweza kuhimili gharama.
Mfano ligi ya Uingereza tu Kuinunua DStv wamelipa Kama 300M pounds ambazo Ni Karibia trilioni 1. Hivyo unaona Hivi vitu vilivyo na gharama.
Tupe majina ya appKuangalia mpira siku hizi easy, Android tv box, Smart Tv na Simu. Kila mtu ana simu tena unacheki bila mazengwe na unaweza kudownload match nzima baadae ili uwe unajikumbusha.
Sijasema wanaonyesha, nimesema wanazidi kupigwa za uso.Azam hawaonyeshi uefa
Wewe una matatizo kichwaniSijasema wanaonyesha, nimesema wanazidi kupigwa za uso.
.
Yani DSTV sidhani hata kama ina wateja active 500 kwa kweli wengi yapo kama ulembo tu
Matatizo gani?Wewe una matatizo kichwani
Mahali nakoishi mimi visimbuzi vya DSTV nimefunga vitatu tu toka mwaka jana alafu sio active customers yapo kama ulembo.Wewe una matatizo kichwani
Miatano ni huko unakoishi ama Tanzaniana mzima?Sijasema wanaonyesha, nimesema wanazidi kupigwa za uso.
.
Yani DSTV sidhani hata kama ina wateja active 500 kwa kweli wengi yapo kama ulembo tu
👊🏿Sijasema wanaonyesha, nimesema wanazidi kupigwa za uso.
.
Yani DSTV sidhani hata kama ina wateja active 500 kwa kweli wengi yapo kama ulembo tu
Na huu ndio ukweli japo ni mchunguSijasema wanaonyesha, nimesema wanazidi kupigwa za uso.
.
Yani DSTV sidhani hata kama ina wateja active 500 kwa kweli wengi yapo kama ulembo tu
Mia tano Tanzania nzima ambayo yako active kwa maana wanayalipia wenye nayo.Miatano ni huko unakoishi ama Tanzaniana mzima?
Sijasema wanaonyesha, nimesema wanazidi kupigwa za uso.
.
Yani DSTV sidhani hata kama ina wateja active 500 kwa kweli wengi yapo kama ulembo tu