Star times wanaonyesha hizi ligi za ulaya zinazoendelea?Star times ndio king'amuzi bora naangalia europa mechi za kimataifa ulaya fiba bundesliga frenc ligi na mengine mengi dstv nitaenda kibanda umiza kwenye mechi muhimu basi
Yap isipokuwa champions league na Seria a ila bundesliga ligue one copa italia europian qualifiers pro league ya belgium na mashindano mengine kama fiba na ligi ya uholanzi kifupi mi naona huwa inafurahisha zaidi na kwa bei ndogoStar times wanaonyesha hizi ligi za ulaya zinazoendelea?
Mimi ninacho nauza tena ni HD kwa bei rahisi tu.king'amuzi cha Canal+ nakipata wapi hapa dar na ni bei gani?
Ninacho used ambacho ni HD nauza bei rahisi 80k.Mkuu unaweza nipa details za kuwapata canal+?
Niko mwanza uku pia wanazo offc? saiz nalipa compact+ japo wamepunguza bei ya kifurushi, ila naona canal+ wanabei rafiki Sana.
KaliwaaaaHaya Sasa wale wapenzi wa UCL muda wetu ndio huu ushawadia
Mkuu tuwasiliane tufanye dili la kisimbusi kama vp!!!!tufanye biashara!!!Unataka kuleta dharau sasa kisa nimekwambia nafungaga madish?
Hii kazi nimeanza toka na miaka 15.
.
Nimetumia kigezo cha kufunga madish ili nieleweke haraka nipe kazi hiyo nije nifunge na sio kwamba sina uwezo wa kulipia 84K nitazame UEFA mimi naangalia bure sijawahi kulipia hata thumni.
.
Nina kisimbuzi ambacho napata channels zote hizo zako unazolipia 84 mimi napata bure za Azam napata bure startimes ndio hadi wakinikamata watanifungulia kesi ya uhaini
Ushapata majina au bado ?Tupe majina ya app
Kama upo Dar kuna wakala unaweza kuwasiliana naye mkaonana ana kwa ana akakuhudumia ila kama ni nje ya Dar pia tunaweza kukuagizia kwa Bus aidha kutokea Kigoma au Kutoka Dar.Hiyo Canal naipataje ndugu zangu
Yaani purchasing power ya wa_Tanzania unaipima Dodoma, seriously?Mia tano Tanzania nzima ambayo yako active kwa maana wanayalipia wenye nayo.
.
Mimi namalizaga hata miezi sita sijalipia sasa mimi ni mteja active au mteja hewa?
Alafu hawana hata wateja wengi sasa kwa taarifa yako dealers wa visimbuzi najuana nao sana kwa sababu ni sehemu ya kazi yangu
Dodoma yani ukitaka udodewe na biashara nunua DSTV ukitaka uuze nunua Azam
We jamaa nitakutafuta soon, gharama za kulipia dstv ili uangalie CHAMPIONS LEAGUE NI KHATAR KWA AFYA YA WATOTO#Sports Leo ndani ya Canal Plus
SERIE A: Lazio vs Ac Milan
BUNDESLIGA: Bayern Munich vs Cologne
Schalke 04 vs RB Leipzig
Hertha Berlin vs Wolfsburg
Hoffenheim vs Stuttgart
CHAN: Mauritania vs Mali
Niger vs Cameroon
Jipatie Decorder yako ushuhudie uhondo huo kwa bei ya january!
Decorder tupu 100,000
Kifurushi 40,000
Pia tunatoa huduma ya malipo ya kila mwezi 45k tu!
0629439450