Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
- #2,041
Eze tangu ameingia hakuna cha maana alichodeliver.
Makosa mengi ya ajabu.
Makosa mengi ya ajabu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
England wanazidi kuzamisha jahazi lao wenyewe3' added time.
One the most boring game of the tournament
Ngoja tusubiri kabumbu safi saa 43' added time.
One the most boring game of the tournament
Mimi napata chai ya tangawiziKunywa maji
Boring kwasababu malkia kapakatwa😀3' added time.
One the most boring games of the tournament
Kaka, England pale timu hamna
Tuache mhemko.
Mpaka sasa Bellingham ndiyo most performing player kwenye hilo litimu.
Nimekubali kaka, timu hamnaMkuu
Kaka, England pale timu hamna
Hakuna faida yeyote ya kuwa na raia pacha TanzaniaMtanzania uyi,ila Kwa kua hatuna uraia pacha,jamaa kaamua kubaki na uraia mmoja wa uko mbele
England wanazidi kuzamisha jahazi lao wenyewe
Akisuluhu na SRB na ENG akishinda wanapitaDenmark ana wakati mgumu
Mechi ya mwisho anacheza na Serbia, lazima ashinde
Anajiita three lions, lion mwenyewe hatishi wala nini...au lion wa ulaya 🤣🤣🤣🤣🤣Mkuu
Kaka, England pale timu hamna
yacine tv app.Yyte anayejua link I ayoonyesha live atuambie manake wengine tupo safarini tunaelekea Madaba Songea
Ni kweli mkuu ila kwa performance yao hii hawafiki mbaliWanaongoza kundi