Noma mzeee....watu mwishoniiiii wanaingia kambaniMpira shikamoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma mzeee....watu mwishoniiiii wanaingia kambaniMpira shikamoo
Watupe raha kama leo jamaniKesho nayo siku wazee..
Watoto wa malkia safari imeiva?Hungary wamewazima kabisa Scotland.
Yule beki fala kweli pale alitakiwa kumla buti mchezaji wa hungary kabla move haijafika mbali. Wacha waende zaoWatoto wa malkia safari imeiva?
Bad lucky kwao walikuwa na timu nzuri angalau wangetolewa roboYule beki fala kweli pale alitakiwa kumla buti mchezaji wa hungary kabla move haijafika mbali. Wacha waende zao
Wacha wakalale tuendelee na wanaojua boli sasaBad lucky kwao walikuwa na timu nzuri angalau wangetolewa robo
Acha matusi wewe, kdb anaweza kuwa level moja na nani etii?KDB ni mchezaji mzuri sana anaweza kuwa level moja na zidane
Tofauti yao ni kwasababu KDB amecheza timu ndogo ndio maana haimbwi km zidane
KDB angecheza
real madrid
Manchester united
Barcelona
Angekuwa na heshima zaidi
Kombe la dunia ndio linamtofautisha zidane na kdb
Bana wewe mtu wa kizazi cha takwimu kubishana na wewe ni kupoteza muda tu maana unavyojibu unajionesha jinsi gani ulivyo mweupe kama jamaa yako Lukaku...Hujui ball wewe. Striker anapimwa kwa magoli aliyoweka kambani otherwise niambie striker apimwe kwa kutumia kigezo gani?
Kitu Kante kipo kati paleNipo hapa alaba anapanda na kushuka mapafu ya mbwa kross kama zote nawaonea huruma France
Euro 2024 ipo wazi Sana. Tutegemee Yale yale ya Denimark 2004.
bingwa asietarajiwa wala kutumainiwa
Usiseme hivyo huko enzi na enzi tu, huwa mashabiki wanajaa uwanjan hata iwe wapi, wezetu kwenye mambo ya maisha wako juu sana, watu wengi wana uhakika na kipato, ndo bara lililoendea zaidi'!Nchi zote zinacheza Euro 2024 zipo karibu na Ujerumani isipokuwa Sweden ndio kila mechi mashabiki wanajaa. Halafu miundombinu ya usafiri iko vizuri
Nilichopenda umekubali kigezo cha Goal involvement ni kigezo cha kwanza kwa striker. Kinachobaki nadhani ni nature ya ubishi tu kwa sababu kama striker kacheza mechi 47 kahusika kwenye magoli 25 unasema ni striker wa daraja la 3 🤣🤣Labda kwa kukusadia tu kwa kutumia hicho hicho kigezo chako cha takwimu, ubora au uwezo wa striker unapimwa kwa goal contribution(G+A) pamoja na Expected goal(XG) sasa lukaku wako msimu huu peke yake tu akiwa na Roma kwenye mechi 47 kafunga goli 20 na katoa assists 5 tu kwa hiyo G+A yake ni 25 wastani ambao kikawaida ni wa mastriker wa daraja la tatu kabisa.... tukiachana na hilo yeye ndio kapiga mashuti mengi nje akifuatana na Osimhen na XG yake ni 0.46 ambapo watu kama Lautaro wana 0.9.
Unageuka geuka maneno yako mwenyewe. Unasema hana individual brilliance halafu unasema labda kuhold mpira huku akisubiri wenzake wafike anajitahidi sasa kipi ni kipi.? Nakuongezea nyingine Lukaku ana uwezo wa kushuka chini kutafuta mipira na kupandisha juu hiyo ni moja brilliant skill pengine huja notice kwake.Tukiachana na hivyo vigezo vyako vya kitakwimu, kingine kinachoangaliwa kwenye ubora wa striker ni individual brilliance ambayo Lukaku hana, sijawahi kumuona lukaku akipunguza hata mabeki wawili, uwezo wa ku hold mpira kwenye eneo la mpinzani huku ukiwasubiri wenzio wafike labda hili kidogo anajitahidi, correct movements ajue jinsi ya kuchota attention za mabeki kwa mikimbio sahihi na kutoa mwanya kwa wenzake kufunga.
Yule mwamba anataka mpaka kombe la dunia kule marekan ndo itaenda kuwa mwisho!Punde tu baada ya Euro kuisha, Ronaldo anapaswa kustaafu timu ya taifa.