Kwa hiyo hata first half ilikuwa bado kuisha?Mvua, radi
France vp wale matapeli wa kiafricaKwenye haya mashindano austria na gorgia zimeinyesha mpira wa kuvutia sana
wajerumani watafanya tuanze kuwahisi wana nasaba za kitanzania. how come wanajenga uwanja usio wa kufunika. kitu kingefunga juu na mambo mengine yangeendelea.Mvua kubwa halafu uwanja sio wa kufunika...mpira hautaenda vizuri wala kudunda
ni mkusanyiko wa wakata mayenuFrance vp wale matapeli wa kiafrica
HaikuishaKwa hiyo hata first half ilikuwa bado kuisha?
Huo ni uwanja wa club haumilikiwi na serkaliwajerumani watafanya tuanze kuwahisi wana nasaba za kitanzania. how come wanajenga uwanja usio wa kufunika. kitu kingefunga juu na mambo mengine yangeendelea.
Sjajua , vp kodi ushawai tumia?Nimejaribu sema imenidirect kwenye application nyingine nyingine tena.
Nimebaki na hii.
Game ni HT
View attachment 3029398
sijawahi kabisa.Sjajua , vp kodi ushawai tumia?
Ndiyo wanakaribia kurudi.Wachezaji wamesharudi uwanjani?
Kupita lazima ipite wewe dokta hizi ni kazi zako nakuaminia
Sikusoma fresh mkuu, kikubwa waarabu wapige commentary hapo 🤣Nimejaribu sema imenidirect kwenye application nyingine nyingine tena.
Nimebaki na hii.
Game ni HT
View attachment 3029398
Poa mkuu, ipo fresh nayo sema inafyeka sana mbsijawahi kabisa.
Hizi online za simu sijawahi
France ni Giant wanacheza kawaida ila utashaangaa wapo semi final au final kabisaFrance vp wale matapeli wa kiafrica