Kuna ban hadi za majukwaani?Nimemaliza ban yangu ya jukwaa la michezo hatimae nimerejea🤣🤣
🏴🏴🏴 Its coming home
Jana hawajatendewa haki kabisa, Huyu mjerumani safari yake itaishia Hapo quarter finalDenmark ingekuwa zake Africa...ingekuwa inajibebea makombe tu
Tapeli ni mmoja TU.Huyo denmark tapeli tu, hakuna mechi kashinda
Kariby bro. Nilijua utakua bush hakuna mtandao kumbe ulikula tofali. Karibu na pole sana.Nimemaliza ban yangu ya jukwaa la michezo hatimae nimerejea🤣🤣
🏴🏴🏴 Its coming home
Shabik wa man u nn.Huyo denmark tapeli tu, hakuna mechi kashinda
Ashinde game group stage katembea na draw tuShabik wa man u nn.
Anyway, jamaa wanajuaAshinde game group stage katembea na draw tu
Mbili..Leo tuna match ngapi?
Subiri niandae mazingira match ya 3 leo lazima ili kesho niamke mwepesi🤸Mbili..
Ya tatu i mikononi mwako. Muda wa mechi huleti timu uwanjani.