Naona wameamua kumuanzisha Lukaku na Onana kwasababu wachezaji wa Ufaransa ni wakubwa wakubwa wa miili...Trossard anawaweza at least wakiwa wamechoka ila kuanza hapanaLukaku tokaaa... Trossad ingiaaa
Kenge maji huyo nikimkamataKuna mtu anawachezea
Gym tunaenda.. ila vitambiChance tunapata... kufunga aaaah!