Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Naona wameamua kumuanzisha Lukaku na Onana kwasababu wachezaji wa Ufaransa ni wakubwa wakubwa wa miili...Trossard anawaweza at least wakiwa wamechoka ila kuanza hapanaLukaku tokaaa... Trossad ingiaaa