Nje kuna forward wazuri tuHivi Lukaku lazima acheze!
.Mbona ni mzigo kwa timu.
nini mkuu goli au?Ebwana eheeh
Aisee kapiga shuti ilonini mkuu goli au?
Jamaa ana kismati sana na bado timu kubwa zinalilia sahh yakeHivi Lukaku lazima acheze!
.Mbona ni mzigo kwa timu.
Naam mkuu
Eti wanalinda hadhi ya mashindano kupitia baadhi ya timuLukaku amefanyiwa faulo refa akaacha
Baada ya hapo ufaransa wamepata goal
Wewe refa ni mjinga sana
Nimeiona ileLukaku amefanyiwa faulo refa akaacha
Baada ya hapo ufaransa wamepata goal
Wewe refa ni mjinga sana