Huko Madrid unamfuatilia pia?Hapana mkuu zaid ya lile goli lake moja mechi ya kwanza sjaona labda umempendea kupiga kona
Kaka kuna watu wanashangaza sana.Huko Madrid unamfuatilia pia?
Hajui mpira huyo achana naye.Hapana mkuu zaid ya lile goli lake moja mechi ya kwanza sjaona labda umempendea kupiga kona
Leo kina sehemu ya uwanja Kuna battle, Williams vs Kimmich,Rodri na Ruiz against Toni na Okay huko mbele ndo balaa,binafsi naona kama Germany anaweza akafuzuLeo Mjerumani aume meno ule moto wa winga za Spain
Labda kwa penaltyLeo kina sehemu ya uwanja Kuna battle, Williams vs Kimmich,Rodri na Ruiz against Toni na Okay huko mbele ndo balaa,binafsi naona kama Germany anaweza akafuzu
Mafaza wanacheza na madogo,nahisi hivyo german to winLeo kina sehemu ya uwanja Kuna battle, Williams vs Kimmich,Rodri na Ruiz against Toni na Okay huko mbele ndo balaa,binafsi naona kama Germany anaweza akafuzu
Demiral is Muslim from European popular Muslim country anyway...Bellingham got a one-match ban with options but Merih Demiral gets two with immediate effect? Talk about double standards from the UEFA.