Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ronaldo ndio alikuwa wakutokaHata mm nafikir Ronaldo ndio angekuwa wa kutoka maana Hana anachofanya kule mbele hata kukaba kwake ni mtihani.
Kibarua cha kocha kiote nyasi .jamaa akiwekwa bench ana chukulia issue personal sanaHata mm nafikir Ronaldo ndio angekuwa wa kutoka maana Hana anachofanya kule mbele hata kukaba kwake ni mtihani.
Ila yule Babu mbona alikuwaga anampiga benchi ?Kibarua cha kocha kiote nyasi .jamaa akiwekwa bench ana chukulia issue personal sana
Wafaransa huwa wanateseka san kwa urenoDah wafaransa hivi kweli mmeshindwa kumaliza kazi mapema ili muarabu wa pesa aanze kulia na u
Ingekuwa sio ujinga wa Kolo Muani tungekuwa tunaenda kulala muda huu
Usicho kijua.
Ni pepe na ronaldo ndio walikuwa wamekaa chini 😁😁😁😁
Jua limezama, ona sasa RonaldoWazee
Jamaa anahaha sana sema hataki kutolewa njeJua limezama, ona sasa Ronaldo
Yuko wapi sasaIla yule Babu mbona alikuwaga anampiga benchi ?