UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

End of an era
IMG_2130.jpeg
 
Sio mbovu kihivyo, ila naungana na mwamba hapo kuwa AFCON ilikuwa bora sana mwaka huu kuliko hii EURO
Ubora wa Afcon ulikuwa upi dhidi ya EURO? ilihali EURO imekuwa na Ushindani mkubwa sana kwa timu zote tangu mwanzoni?
 
Back
Top Bottom