Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mpaka sasa dk inaenda ya 70 hamna shot on goal, mafi kabisaYaani hamna kitu huku
Watkins aingie sasaKane hamna kitu
Wanapaswa wafanye sub waongeze nguvu kwny mashambuliziKuna dalili wajukuu wamalkia wakapigwa.
Sioni hivyo mkuu,Brazil atashinda
Walikuwa wanakutana na kina Slovenia sijui Slovakia na timu zingine, hawajakutana na Giants kabisaHivi England wamefikaje huku? Na hili limpira la hovyo!
Si kweli, kwa miaka ya karibuni Spain kamnyanyasa zaidi franceYaani hamna kitu
Hispania wakikutanaga na France wanalowa mbona? Hao watoto wataishia kujiangusha angusha...na vile Carvajal hatakuwepo watapigwa tu
FINAL ni France na Netherlands
Gavi ana majerahaRodri umri umeenda ivi Gavi hakuitwa?