Msako umelipa😊Kusema kweli goli limetafutwa
Na hatuna bimaJumba limeungua
Anamuweka dogo dk za mwisho sanaSijajua Palmer kamkosea Nini Southgate 🤔u
aiseeUingereza kwenye michuano ya kimataifa huwa ni banch of idiots.
Kane kama CR7Nje kuna Watkins,Bowen, Toney,Eze,Palmer unaweka machezaji ya ajabu ma Kane!