MENEMENE TEKERI NA PERESI
JF-Expert Member
- Mar 11, 2022
- 5,392
- 14,646
Rafiki ulipotea karibu tena mwambaNiko Switzerland
Unamwogopa wife?Nafuatilia update hapa, Embolo anafanya nishindwe kuangalia hii game sebuleni.
huyu safi, sio wale wahuni wa epl
Kweli mkuu hapa tusibiri tu matokeo ya mpiraila wamenikera sana kwani baada ya kufunga goli wakaanza kubweteka na kukosa umakini na goli kusawazishwa. wanaenda kufungwa ama dakika hizi 90 au zlle za nyongeza za 30 kwani kuna mapungufu mengine ya kiufundi naanza kuyaona wanayo. siwapendi england ila wanaenda kushinda hii mechi
Kweli kabisa, sioni Bellingham akienda mbali na Madrid. Shida kubwa pia huwa ni hawa wachezaji wa kiingereza huwa sio wa kudumu sana tena wakienda timu kubwa zenye presha kama Madrid hupotea mapema kabisa. Mcmanaman, Owen, bekcham, woodgate wote walienda Madrid wakiwa bora lakinj wakashindwa kudumuNdio mi nakwambia mwache ajichekeshe watu wamelipa Euro milioni mia zao. Amuulize kakaake Bale, Real Madrid wanakulipa mshahara, unafanya mazoezi kisha unachoma mahindi hata miaka 3 hawaoni hasara. Mkataba wako ukiisha na carrier yako imeisha. Wale wanataka performance
Jude ameanza kubadilikaKweli kabisa, sioni Bellingham akienda mbali na Madrid. Shida kubwa pia huwa ni hawa wachezaji wa kiingereza huwa sio wa kudumu sana tena wakienda timu kubwa zenye presha kama Madrid hupotea mapema kabisa. Mcmanaman, Owen, bekcham, woodgate wote walienda Madrid wakiwa bora lakinj wakashindwa kudumu
Anacheza midfield, ndio top scorer wa Real Madrid kwa msimu huu.Ndio mi nakwambia mwache ajichekeshe watu wamelipa Euro milioni mia zao. Amuulize kakaake Bale, Real Madrid wanakulipa mshahara, unafanya mazoezi kisha unachoma mahindi hata miaka 3 hawaoni hasara. Mkataba wako ukiisha na carrier yako imeisha. Wale wanataka performance
Huyu kiukweli anakuzwa tu ila hana maajabuBellingham katepeta.
Atoke
Foden simpendi.Eze simpendi.
HahahahahaFoden simpendi.