UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

ila wamenikera sana kwani baada ya kufunga goli wakaanza kubweteka na kukosa umakini na goli kusawazishwa. wanaenda kufungwa ama dakika hizi 90 au zlle za nyongeza za 30 kwani kuna mapungufu mengine ya kiufundi naanza kuyaona wanayo. siwapendi england ila wanaenda kushinda hii mechi
Kweli mkuu hapa tusibiri tu matokeo ya mpira
 
Ndio mi nakwambia mwache ajichekeshe watu wamelipa Euro milioni mia zao. Amuulize kakaake Bale, Real Madrid wanakulipa mshahara, unafanya mazoezi kisha unachoma mahindi hata miaka 3 hawaoni hasara. Mkataba wako ukiisha na carrier yako imeisha. Wale wanataka performance
Kweli kabisa, sioni Bellingham akienda mbali na Madrid. Shida kubwa pia huwa ni hawa wachezaji wa kiingereza huwa sio wa kudumu sana tena wakienda timu kubwa zenye presha kama Madrid hupotea mapema kabisa. Mcmanaman, Owen, bekcham, woodgate wote walienda Madrid wakiwa bora lakinj wakashindwa kudumu
 
Kweli kabisa, sioni Bellingham akienda mbali na Madrid. Shida kubwa pia huwa ni hawa wachezaji wa kiingereza huwa sio wa kudumu sana tena wakienda timu kubwa zenye presha kama Madrid hupotea mapema kabisa. Mcmanaman, Owen, bekcham, woodgate wote walienda Madrid wakiwa bora lakinj wakashindwa kudumu
Jude ameanza kubadilika
 
Ndio mi nakwambia mwache ajichekeshe watu wamelipa Euro milioni mia zao. Amuulize kakaake Bale, Real Madrid wanakulipa mshahara, unafanya mazoezi kisha unachoma mahindi hata miaka 3 hawaoni hasara. Mkataba wako ukiisha na carrier yako imeisha. Wale wanataka performance
Anacheza midfield, ndio top scorer wa Real Madrid kwa msimu huu.
 
Back
Top Bottom