UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

hawa England huwa hawana dogo
kwa apa walipofikia zitatungwa nyimbo lukuki za kusifia tim

kila aina ya mashairi ya kusifu yataimbwa utaskia fantastic.. mara ooh best eva

vitabu vitatungwa
kurasa za magazeti na majarida zitajaa habari za kusifia na ikitokea wametwaa hili kombe watadai wao ndo weldi champions we ngoja mtaniambia

sifa kemkem zitamwagwa kuwasifia wachezaji madereva hata wapishi na mbwa wao

embu tungoje tuone
 
Kazi na dawa kama kawa kama dawa it looks like England are lucky let us wait and see. Kanjibhai hataki hata kunipa maokoto yangu sijui alikuwa Holland 🤔🤔
Screenshot_20240711-000616.png
 
England pamoja na kuwa na top strikers barani ulaya, wamkuwa wanapata shida sana kufunga.

Mtazame Kane, Saka, Palmer, Belligham na Foden, hawa wote ni watu ambao wamefunga magoli mengi katika vilabu vyao.
Ukumbuke haya mashindano hadi fainali ni mechi saba tu. Na mechi zenyewe zinachezwa kimbinu zaidi ili ku endelea na hatua inayofuata
 
Hatutaki wageni.

Bakini na timu zenu

Azarel ulisemaje Tena?

Hatutaki wageni.

Bakini na timu zenu

Azarel ulisemaje Tena?????
Aisee mpira ni mchezo wa ajabu sana

Leo kiungo ya Uholanzi imepoteana kabisa na kumtoa Memphis ndio kabisa confidence ikawa 0...wanakimbia kimbia tu

Hatahivyo, Big Up kwa kocha na wachezaji wa kiingereza, wametulia na kucheza mpira wa kasi leo
 
Back
Top Bottom