Carasco Putin
JF-Expert Member
- Apr 23, 2022
- 10,644
- 32,375
Azam wanatuonaje nataka niwapeleke mahakamani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CROTIA NA NERTHELANDS tumekaa pale tunawasubiriTEAM GERMAN,,WE ARE HERE TO CONQUER [emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123][emoji123]
Sawa, tutarud hapa,Ilikua mechi ya kirafiki tu hiyo mkuu, leo ona serbia anavyokula mvua ya magoli?
Atakua na proffessional contract mpaka atakapofikisha miaka 18. Kwa sasa inawezekana wazazi wanakula tu posho ndogo na huyo dogo kupewa hela ndogo ya matumiziWenzetu mifumo yao inaruhusu watoto kupata kazi wakiwa bado wadogo😣
Hongera zaoAtakua na proffessional contract mpaka atakapofikisha miaka 18. Kwa sasa inawezekana wazazi wanakula tu posho ndogo na huyo dogo kupewa hela ndogo ya matumizi
hahaaaa wangireza wameshaanza mbwebwe zao mara is coming Home ila wakifungwa utasikia watu weusi Ndio wametufanya tukose kombeLeo Taifa Stars ya Ulaya inashuka dimbani.
Wenyewe wanakwambia michuano ndio inaanza rasmi
Kombe NI la Spain hii haina ubishiNilisema Toka juzi sisi Italy hili kombe tunabeba mara ya pili
wanaona mmezoea kutazama mechi za mavumbini tuAzam wanatuonaje nataka niwapeleke mahakamani
Duh sawaKombe NI la Spain hii haina ubishi
Italy kwa mchezaji mmoja mmojq naona wapo vizuri pia kuna uyu dogo anacheza na kina paston pale nyuma kavaa namba tano anatumia left foot naona yupo vizuri sana
Chiesa leo anamlaza uyu beki na Viatu
Wenzetu mifumo yao inaruhusu watoto kupata kazi wakiwa bado wadogo😣
Uingereza atajuta kuikosa Euro ile amecheza na italy
Itachukua muda sana kucheza tena fainali
Hujuwi umenivunja mbavu na kucheka!!!
kuna mda jana kamlamba beki chenga hadi jamaa akawa anamvuta miguu wa italiano ni watu wa kazi sanaJamaa ni hatari sana