Amekula mbao, kocha kaamua kuanza na wakongwe kwenye beki ya katiyule
yule mtoto wa spurs leo naona hajaaza Van de veen
Mtatuua na kucheka jamani!Huyo jamaa chawa wa mama namuona ona tu.
Huku ndio kushakua nyumbani kabisa na mashamba tushatafuta
FranceMimi team spain (japo najua hatuchukui) wewe je?
wanachomoa ao wew jisaulishe tu Argentina wenyewe ile Gemu bila mbeleko alikua anaaga mashindanoWaholanzi wapigwe tu walitufanyia dharau fans wa Messi mwaka juzi Qatar
Kweli bana dahwanachomoa ao wew jisaulishe tu Argentina wenyewe ile Gemu bila mbeleko alikua anaaga mashindano