Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
-
- #981
England bwana jana tia maji tia maji kwa kweli hasa kipindi cha piliSijawahi ona mashabiki vigeugeu kama watz yani wakat mechi za Germany, Italy na Spain zilipokuwa zikiendelea wao wanaizungumzia England lakn baada ya mechi ya England kwisha wameanza tena kuikataa
AKiendelea kama jana hata kwenye mikeka watamtoaSijawahi ona mashabiki vigeugeu kama watz yani wakat mechi za Germany, Italy na Spain zilipokuwa zikiendelea wao wanaizungumzia England lakn baada ya mechi ya England kwisha wameanza tena kuikataa
😄😄😄wazee wa media na propaganda nyingi uwanjani zeroKuna watu mnaimani kali Sana...unaishabikia England
Watakufa na presha..😄😄😄wazee wa media na propaganda nyingi uwanjani zero
Hamna ata BLACK mmoja uwanjani. Kha.
England ina wachezaji wazuri na vipaji kiasi kocha anapata wakati mgumu kupanga kikosi. Kwa mfano backline pale angempanga Dunk badala ya Guehi. TAA angeanzia bench akaanza Dogo Gordon.
Flank wasimame Walker na Trippier. Center back, Stone na Dunk.
Viungo. Rice, Jude na Gordon.
Mwisho Saka Kane na Foden.
Jana kashinda kwa tabu sana dhidi y serbia, hii imenipa shaka kidogo,Awe nani sisi tutamtwanga tu, hii england sio kama ile yakina lampard, rooney na gerald ilikua na wachezaji kuojiona sana, safari hii habari nyingine kbs.
Huu mkeka ulichanika pole sn 🤣🤣
Superstars ila viwango vya kawaida hawanyumbulikitimu imejaa average players ambao wanaitwa best players, Kane, Saka, Jude, Foden, Arnold, Rice na sasa kunja kijana mpya yule rasta aliengia mwishoni, ni wachezaji wakawaida sana wanaobambikiwa masifa yaliyonje ya uwezo wao.
Sio England tu, mimi natabiri Italy kutoka mapema sanaEngland hawavuki Round hii...
Hawajashikana. No commitment no passion..
Odds na bahati nilikuwa upande wake dhidi ya Italy akachezea nafasi ile fainali kwa sasa itakuwa vigumuMimi siku zote huwa nashangaa, wale ambao huwa wanatabiri na kuamini kuwa England inaweza beba Ubingwa kitu kitu kwenye vichwa vyao hakiko sawa