Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
- #961
Nne za kuhesabu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo lao ni lile lile...mpira wao uko slow na Wachezaji wako soft sana ukimtoa Walker na GuehiEngland kwa mpira huu, makundi atavuka lakini akijatahidi sana robo fainal
SahihiTatizo lao ni lile lile...mpira wao uko slow na Wachezaji wako soft sana ukimtoa Walker na Guehi
Huwa hawawezi kuforce sana mashambulizi na wanaruhusu sana kushambuliwa
Ndio Maana Italy iliwa win
Next time kicha amfikirie zaidiKapewa airtime kiduchu
Hawawezi mikiki mikikiTumeshinda kwa mbinde sana!!
Hawa akina Foden na Saka nje ya klabu zao ni Kama Scudu Makudubela
Sijui wana shida gani wanaweza kuanza vizuri ila kadri muda unavyoenda wanaanza kupoteza mwelekeoTatizo lao ni lile lile...mpira wao uko slow na Wachezaji wako soft sana ukimtoa Walker na Guehi
Huwa hawawezi kuforce sana mashambulizi na wanaruhusu sana kushambuliwa
Ndio Maana Italy iliwa win
Matoto ya visiwani hayo yanakula sana ma junk foodSijui wana shida gani wanaweza kuanza vizuri ila kadri muda unavyoenda wanaanza kupoteza mwelekeo