Kweli wanaleta urembo,Wanaleta urembo kazini, wanaume wanakaza
Kuna kaunta moja madogo wamezingua kabisa wangetupia.. Wanaanza kurembuaKweli wanaleta urembo,
Romania akipata mpira ni touch chache wako golini.
😂Tatu hukuuu
HhahahahaKwa sababu za kisiasa leo niko Roumania
Wanazingua tu.. Hawana maamuzi ya chap..Vita imewaathiri hawa jamaa sana