UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Huyu Kijana sijui alikua anafanya nini hapa, Jama ni mroho sana na uwezo wenyewe wa kuunga unga

Your browser is not able to display this video.
 
Ukrain wanachakazwa cz waliwachukulia Romania ki underdog,
Wakawa wanaleta ubishoo.

Last time i chacked possession ilikuwa 75% for ukrain lakin hakuna la maana walilofanya,
Mpir magoli yaani wee tafuta goli achana na possession.
Wajinga romania wamepiga mashugi ya kiulaya ulaya.
Yaani ukiona wenzetu unaona kabisa wanajua boli sie huku kuruka ruka tuu
 
Mpir magoli yaani wee tafuta goli achana na possession.
Wajinga romania wamepiga mashugi ya kiulaya ulaya.
Yaani ukiona wenzetu unaona kabisa wanajua boli sie huku kuruka ruka tuu
Ss hatujaumbiwa mpira bro…

Ndomana tulikuwa n kazi y kumtafuta mwinyi afute kauli…

Ss sijui kauli y mwinyi ilikuwa inaathiri vp matokeo y uwanjani
 
Ss hatujaumbiwa mpira bro…

Ndomana tulikuwa n kazi y kumtafuta mwinyi afute kauli…

Ss sijui kauli y mwinyi ilikuwa inaathiri vp matokeo y uwanjani
Watu wasakata kabumbu unafurahi...yale mashugi nje kidogo ya box ni fire...pass zinapigwa mpaka raha. Aisee sie huku tunaruka ruka tuu kwa kweli.
Mzee ruksa aliona mbalii sanaaa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…