Juhudi za slovakia ziheshimiweHamna uchawi, ubelgiji wamecheza ovyo tangu mechi imeanza.
Timu ya ovyo kabisa, sielewi walikua wanacheza niniBelgium kafa kihalali kabisa
Me pia mkeka umeungua adseAccount zimeungua kinoma wanangu 🚮🚮
Bila mipango Line up hazina maana skuhizi, Yale yale ya ubelgiji na ukraineNimeangalia line-up ya ufaransa, Adse hawa jamaa wanaweza wakabeba ndoo, sioni timu ya kuwazuia ufaransa,
Ngoja wacheze kwanza,Nimeangalia line-up ya ufaransa, Adse hawa jamaa wanaweza wakabeba ndoo, sioni timu ya kuwazuia ufaransa,
Naam naamBila mipango Line up hazina maana skuhizi, Yale yale ya ubelgiji na ukraine
Pole Sana mkuu,VAR ni adui mkubwa sana
Hili group romania na Slovakia ndo timu zinazoeleweka, wote waliofungwa leo walistahiliHi group alilopangiwa Belgium asipokua makini atafungwa mechi zote, Nimeangalia Game ya
Romania Vs Ukraine
Ilikua tough japo Ukraine kachezea 03
They have been systematized by mr. philosopher, they need a well established word class system to thrive.Hawa wachezaji wa guadiola wamekua magarasa Sana hii michuano, Sijui tatzo nini
Slovakia ni darkhorse kwenye hii michuano, nawaona wakifika kuanzia kwenye robo fainali hivi kama wakiendelea na hii hii fighting spirit waliyonayo.Bila unafiki Slovakia wamepiga mpira mkubwa Sana leo,
-Belgium alikamatwa Sana kiungo,
-High spirit na uzalendo viliwabeba Sana
- high pressing toka juu Hadi chini
- kukabia juu na pumzi viliwabeba sn
HII MECHI YA LEO,BELGIUM NDO ALIKUA UNDERDOG KILA IDARA
Tunaitunza risitiUfaransa leo tunaenda kutoa funzo jinsi ya kumtia adabu underdog......kaeni mkao wa kula.