asa si Ndio mchezaji bora saizi Duniani kwanin asideke na pia bado anaenda kucheza kwenye klabu Bora ya Dunia ya wakati woteMbappe anadeka
Spanish🤣Huyu refa wa leo anazingua
Ngoja akakutane na mafundi..asa si Ndio mchezaji bora saizi Duniani kwanin asideke na pia bado anaenda kucheza kwenye klabu Bora ya Dunia ya wakati wote
ma fundi Gani Ukraine auNgoja akakutane na mafundi..
Wamebanwa, bila shaka waliichukulia poa Australia sasa hawaamini kinachowatokea washukuru own goal hii ilifaa watoke nungeWameshinda ila hawana furaha