Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
point tatu hizo zimeondoka tukutane 16 Bora mechi Ngumu iliyobaki ni ya Uholanzi tuMkuu uko sahihi wako vizuri wana wachezaji waziri na vijana ila kwa leo inaonekana waliunderate Australia shughuli ndo hii sasa
Nimeacha hadi wamalize makundi ndjo naweka hela.Mikeka ingeungua vibaya leo
Imeshindikana, ilibidi iwe 1-1 hiiMimi pia nawish iwe hivyo hawa jamaa wamepambana sana
Hongereni kwa ushindi hakika tumeshuhudia kabumbu safi mwanzo mwisho sio kama wale mabishoo wa janapoint tatu hizo zimeondoka tukutane 16 Bora mechi Ngumu iliyobaki ni ya Uholanzi tu
Mkuu Kante ni mwambaHawa akina Camavinga na Tchouameni wanakaa benchi afu wanacheza watu wazima akina Kante
Wataje mkuu mi naanza na belgiumMpaka sasa naona kabisa kuna wakubwa kama wawili watawahi kurudi makwao
kocha tu mwenyewe pamoja na kwamba amesaidia ila kitendo cha Rabiot kuaza afu Camavinga anatokea nje uwa anazingua sana ata kwenye Kombe la Dunia 2022 Camavinga alikaa sana Bechi apo France kwa wachezaji wa kati hamna mchezaji wa kumuweka Bechi CamavingaMkuu Kante ni mwamba
Chukua point uwasimulie wenzie kijiweni...Mkuu
Mkuu wangu nimeuliza tu sikukuelewa lakini sijaelewa vingine umemaanisha nini maana hiyo lugha sielewi kaka
England/HollandWataje mkuu mi naanza na belgium
Makocha sometimes wanakua na watu wao wanawapenda yaani lazima amuanzishe na wengi unakuta ni mzuri il lazima aanzie bench ilimrdi tukocha tu mwenyewe pamoja na kwamba amesaidia ila kitendo cha Rabiot kuaza afu Camavinga anatokea nje uwa anazingua sana ata kwenye Kombe la Dunia 2022 Camavinga alikaa sana Bechi apo France kwa wachezaji wa kati hamna mchezaji wa kumuweka Bechi Camavinga