Bonge la mechiOya hii mechi ninekuja kumali,ia dakika hizi 15 za mwisho, mechi safi aisee
Leo usingizi hatopataKipa kaenda kushambulia kona.. Kilichotokea anajua GOAT
HahahahahahahaLeo usingizi hatopata
From potential equaliser to total loss, mpaka linesman anachanja mbuga ndani ya dimbaMpira ni mchezo wa kikatili sana
Kabisa yaani hii game lazima niirudie kuangalia mana balaa leo nalala saa tisa usiku naona hapa saa sabu usiku inarudiwa...noma sana full of drama na magoli ya moto moto...kama goli la pili la waturuki can only be described as a majestic majestic goalπ₯π₯π₯π₯π₯A moment of silence kwa walioikosa game hiiView attachment 3020338
mechi Bora kabisa ya michuano HiiπWhat a match....hatari game ya round hiiπ₯π₯π₯π₯π₯
Wamepitwa na uhondoπA moment of silence kwa walioikosa game hiiView attachment 3020338
Haina ubishi bro...mechi dume.....dakika za jiiooooniiiiii watu wanakandika la tatu. Dah! Talk about entertainment hii ndio burudani yaani ata mbususu haifikii huu utamuHmechi Bora kabisa ya michuano Hiiπ
Ukimlaumu unamuoneaKipa msenge
ha ha...kweli kabisa mkuuHaina ubishi bro...mechi dume.....dakika za jiiooooniiiiii watu wanakandika la tatu. Dah! Talk about entertainment hii ndio burudani yaani ata mbususu haifikii huu utamu