Dr Restart
JF-Expert Member
- Jul 15, 2021
- 4,949
- 24,046
- Thread starter
- #1,781
12'
ðŸ‡ðŸ‡·0-1🇦🇱
ðŸ‡ðŸ‡·0-1🇦🇱
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii Ngoma huenda ikawa drawHuenda tukashuhudia kilichompata Ubelgiji. Kimoja mpaka 90'
Alafu refa hakuiona hii sijui kwa nini
kwani uwo mpira unangalia peke ako hadi wengine tusione kinachotokea uwanjani chanagamoto yako wewe unamini katika Hisia zako kuliko reality una tatizo la kulazimisha Hisia zako ziwe reality itakuchukua mda mrefu sana kuweza kupata mabadiliko kwenye kila kitu unachokifanyaTukubali kutokukubaliana. Wewe unaamini takwimu peke ake mimi naamini combination ya takwimu na ninachokiona uwanja
Ni dhairi kabisa hujanipata kwa usahihi mantiki yangu, umenisosoma kwa juu juu tu kisha ukaona unijibu tena kwa comment iliyojaa mahaba yaliyopitiliza.mbona Ronaldo Bado ni top score karibu kwenye kila michuano Euro 2021 apo juzi tu yeye ndio alikua top score pia aliwahi kuwa top score kwenye michuano ya Uefa national leauge pia Ndio mchezaji mwenye idadi kubwa ya magoli kwenye hii michuano ana jumla ya magoli 14 pia Ndio mchezaji mwenye idadi kubwa ya magoli kwenye hatua za kufuzu.