UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Tukubali kutokukubaliana. Wewe unaamini takwimu peke ake mimi naamini combination ya takwimu na ninachokiona uwanja
kwani uwo mpira unangalia peke ako hadi wengine tusione kinachotokea uwanjani chanagamoto yako wewe unamini katika Hisia zako kuliko reality una tatizo la kulazimisha Hisia zako ziwe reality itakuchukua mda mrefu sana kuweza kupata mabadiliko kwenye kila kitu unachokifanya
 
Ni dhairi kabisa hujanipata kwa usahihi mantiki yangu, umenisosoma kwa juu juu tu kisha ukaona unijibu tena kwa comment iliyojaa mahaba yaliyopitiliza.

Kwanza nikukosoe Ronaldo tangu aanze kushiriki hii michuano ya Euro mwaka huu ni mara ya tano, na katika mara zote 5 amekuwa top scorer wa michuano mara moja tu ambapo ni mwaka 2020/21.

Na pia nikujuze tu Ronaldo katika international career yake ameshiriki hizi major tournaments yaani EURO,WORLD CUP,FIFA CONFEDERATION CUP pamoja na UEFA NATIONS LEAGUE zote kwa pamoja mara 12, sasa katika mara 12 zote alizoshiriki ameibuka kama top scorer mara 2 tu, je unajua sababu???? Ni kwanini kwenye international career ana golden boot chache hivyo na wakati kwenye clubs huwa haipiti misimu miwili anaibuka mfunga bora?

Endapo kama ungekuwa umenielewa mantiki yangu hata usingeona kuna shida kwenye comment yangu.

Yaani hizo goals ambazo wewe unaona amefunga na zinakuridhisha ni ndogo sana kulinganisha na zile ambazo angeweza kufunga endapo kama angecheza na teammates wazuri tangu kipindi yuko kwenye prime(2008-2017) na hata world cup angeweza kuwa nayo leo hii kama hiki kizazi cha akina Bernado Silva,Diaz,Fernandez,Joao Felix angekuwa na anacheza nacha tangu 2010 huko..... nafikiri kwa huu ufafanuzi utakuwa umenielewa sasa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…