Greatest Of All Time
JF-Expert Member
- Jan 1, 2017
- 23,620
- 52,790
Refa hadekezi wachezajiRefa wa leo hataki faulo ndogo ndogo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Refa hadekezi wachezajiRefa wa leo hataki faulo ndogo ndogo
Ata bernado silva nae toa...hawa watoto wa pep naona wana jambo lao na pep...mbona hawachezi kama wakiwa man cityToa ronaldo
Toa raphael
Weka jota apo kati
Ni wachezaji wa mfumo wa PepAta bernado silva nae toa...hawa watoto wa pep naona wana jambo lao na pep...mbona hawachezi kama wakiwa man city
Alafu hawa jamaa naona kama hawajui kufikiri. Nyie mnawatu warefu piga goal kick mbele huko acheni mambo ya playing out from the back. Wamepiga hivyo mipira mitatu wamepata second balls zote. Hawa wazungu feki hadi mie mwafrica nawafundisha boliHawa madogo wanapoteza pasi kifala sana.. wapigwe akili ziwakae
Wamakonde kwanza bernado hayupo kw game.Ni wapi wanafeli hawa Wamakonde?
Wanacheza na team kubwa wanataka kuleta show. Ilibidi mipira yote ipelekwe mbele. Huku nyuma watapigwa tuAlafu hawa jamaa naona kama hawajui kufikiri. Nyie mnawatu warefu piga goal kick mbele huko acheni mambo ya playing out from the back. Wamepiga hivyo mipira mitatu wamepata second balls zote. Hawa wazungu feki hadi mie mwafrica nawafundisha boli
Si england alishida vizuri tu dhidi ya timu ngumu serbia kwani shida nn?Jana kashinda kwa tabu sana dhidi y serbia, hii imenipa shaka kidogo,
Serbia utoto ulikuwa mwingi sn hasa wakiwa 3rd half y england, otherwise wangeshinda hata goli 3..
Mm england siioni ikifika nusu fainal y michuano hii, regards kundi alilokuwepo jamaa ndo kundi jepesi zaid y yote
Hamna bwana hawa wapo na mgomo...wanataka warudi england mapema wajiandae kushinda epl kwa rekodi ya mara tano mfululizoNi wachezaji wa mfumo wa Pep
Kabisa mwanawane...just simple common sense. Yaani ata mie mgegedaji naliona hilo🤣🤣🤣🤣Wanacheza na team kubwa wanataka kuleta show. Ilibidi mipira yote ipelekwe mbele. Huku nyuma watapigwa tu
Mfumo mkuuAta bernado silva nae toa...hawa watoto wa pep naona wana jambo lao na pep...mbona hawachezi kama wakiwa man city
Lasivyo wangepigwa za kutosha, na kipa wao pia mzuri anajitahidisema tuwape credit Czech wanacheza na kukaba kwa nidhamu ya hali yajuu
Sijapenda kuna muda wanapoteza mipira kizembe sana.sema tuwape credit Czech wanacheza na kukaba kwa nidhamu ya hali yajuu