UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

UEFA EURO 2024: Special Thread | Final: FT: Spain 2-1 England (Spain aibuka bingwa)

Kupitia michezo huwa nahitimisha kuwa mtu mweusi ni top performer kuliko race nyingine basi tu baada ya kutawaliwa akili zetu zikadumaa

Naamini siku moja tutapata vitabu vilivyokuwa ktk maktaba ya misri ya kale
Misri ya kale ilikaliwa na mtu mweusi na ndio kitovu cha ustaarabu
Kivipi mkuu
 
Kivipi mkuu
My point ni kuwa through sports over years and years we have experienced a contribution of a black man in a top performing
Few to mention like pele,Jordan,usain bolt

Km mtu mweusi ame perform kwa level ya juu kwanini asi perform kwenye upande wa pili wa uvumbuzi km alivyokuwa akifanya zamani in ancient Egypt

Means hatutumii ubongo wetu inavyotakiwa km zamani

Ina aminika kwa siku ubongo wa mtu una construct mawazo yanayofikia 6000
But do we construct positivity?
 
Kuna Michael Oliver na mstaafu Mike Dean ni moja ya makocha wabovu na wanaongoza kwa matukio ya utata utata kila pahali, pale sijaelewa offside ya Denmark ilipo. Hata hivyo wajerumani tumeshinda
Ni referee. Si kocha.

Ile ya offside si yeye, ni maelekezo ya VAR.

Ila hilo la mkono ni upuuzi wake. Usengerema mtupu..
 
GOAL to a penalty scored , expertly taken by Havertz! Germany 1-0 Denmark
CgAGVmaAcJOAHm-BADAz3vDT804303.gif
 
Back
Top Bottom