vn_warehouse
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 648
- 854
sijasema kama ni shot on target.
Ni kweli ,but ni Off-sideMbona Kama Niliona Foden Kafunga Goli?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sijasema kama ni shot on target.
Ni kweli ,but ni Off-sideMbona Kama Niliona Foden Kafunga Goli?
Ooh! SawaNi kweli ,but ni Off-side
Mamilioni ya pesa aiseeWawekezaji tumepoteza pesa nyingi sana
Huyu na mwenzake Olise wanapigiwa sana chapuo watu waingie kingUmkute Ambangile akimchambua sasa🤣🤣
Bayern wameamua kujitwika zigo la lawama kwa kumchukua OliseHuyu na mwenzake Olise wanapigiwa sana chapuo watu waingie king
We're going homeIt's Coming Home
kila unakoenda unatolewaNaenda zangu Portugal
Bellingham anawazingua wenzake. Timu ingecheza vizuri bila uwepo wake. Kama Palmer angekaa namba 10, timu ingekuwa poa
Kola Kakionekana, Kamecheza RafuBellingham sasa ndo ame prove kwenye Ballon d'or hakuna wa kumkaribia Vinicius Jr