Mimi nadhani wapo sawa kwa kuangalia idadi ya mechi za Champions League alizocheza na mchango wake kwa nafasi aliyokuwa anacheza. Ronaldo Lima ni bonge la striker, lakini amefunga magoli machache na amecheza mechi chache za champions league. Kazi ya mshambuliaji wa kati ni kufunga magoli, ukiangalia orodha ya wafungaji wa muda wote wa champions league, Ronaldo de Lima hayupo hata 5 bora
Duh!hiyo timu gaucho ana choma mahindi timu gani hiyo?kuna effenberg Paul Scholes de Piero Juan veron na Juan roman requeme siwaoni hapo.
Hao jamaa wamechemsha!!
De Lima hayupo???
Ryan giggs mbona hayupo au wao wanamuona wa kawaida?
UEFA imetangaza orodha ya wachezaji 18 walio bora zaidi kuwahi kucheza katika ligi ya mabingwa wa Ulaya.
Kwa mujibu wa orodha ya wachezaji 18 bora kucheza katika Champions League inajumuisha Wahispania 5, wachezaji 2 kutoka kila nchi za Brazil, Uingereza, Ufaransa na Italia, mchezaji mmoja kutoka Ujerumani, Czech Republic, Uswizi, Ureno na Argentina.
Katika 11 bora Ilker Casillas analinda lango.
Safu ya Ulinzi inashikiliwa na Sergio Ramos, Carlos Puyol, Alessandro Nesta na Philipp Lahm.
Viungo bora waliochaguliwa ni Steven Gerrard, Andres Iniesta na Xavi Hernandes.
Safu ya washambuliaji inashikiliwa na Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Thierry Henry.
Katika wachezaji saba mbadala waliokamilisha orodha ya wachezaji 18 bora ni Zinadine Zidane, Zlatan Ibrahimovic, Gianluigi Buffon, John Terry, Pev Nedved na Wabrazil Kaka na Ronaldinho.
Chanzo: michezo365
Bila de Lima ni ubatili.
Maldini?
Dinho yupo benchi?
De lima,deco,kluvert,beckan,rivalvo. roberto carlos. mbona wapo wengi tu.
Mimi nadhani wapo sawa kwa kuangalia idadi ya mechi za Champions League alizocheza na mchango wake kwa nafasi aliyokuwa anacheza. Ronaldo Lima ni bonge la striker, lakini amefunga magoli machache na amecheza mechi chache za champions league. Kazi ya mshambuliaji wa kati ni kufunga magoli, ukiangalia orodha ya wafungaji wa muda wote wa champions league, Ronaldo de Lima hayupo hata 5 bora
UEFA imetangaza orodha ya wachezaji 18 walio bora zaidi kuwahi kucheza katika ligi ya mabingwa wa Ulaya.
Kwa mujibu wa orodha ya wachezaji 18 bora kucheza katika Champions League inajumuisha Wahispania 5, wachezaji 2 kutoka kila nchi za Brazil, Uingereza, Ufaransa na Italia, mchezaji mmoja kutoka Ujerumani, Czech Republic, Uswizi, Ureno na Argentina.
Katika 11 bora Ilker Casillas analinda lango.
Safu ya Ulinzi inashikiliwa na Sergio Ramos, Carlos Puyol, Alessandro Nesta na Philipp Lahm.
Viungo bora waliochaguliwa ni Steven Gerrard, Andres Iniesta na Xavi Hernandes.
Safu ya washambuliaji inashikiliwa na Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Thierry Henry.
Katika wachezaji saba mbadala waliokamilisha orodha ya wachezaji 18 bora ni Zinadine Zidane, Zlatan Ibrahimovic, Gianluigi Buffon, John Terry, Pev Nedved na Wabrazil Kaka na Ronaldinho.
Chanzo: michezo365
Bila de lima bado