UEFA yatangaza kikosi cha wachezaji bora Klabu Bingwa


Dinho anakaa benchi nanikasema?
 
Duh!hiyo timu gaucho ana choma mahindi timu gani hiyo?kuna effenberg Paul Scholes de Piero Juan veron na Juan roman requeme siwaoni hapo.

Hata mm nashangaa gaucho kuchoma mahindi hao watakuwa wamechemsha2 pamoja na list yao. wamechemsha
 
Mabeki kina Stam, Roberto Carlos, Hiero; Viungo kina Davis, Becks; forward matata De Lima, etc. Hicho kikosi ambacho zidane anawekwa sub hakina validity.
 

Huu upvmbavu sasa, eti Dinho na Zizzou wanaanzia benchi.
 

Raul vipi? Yaani Chogo anamkalisha Raul?
 
Wabongo kama kawaida yetu...kulalamika tuuu. Kwanza! Hiyo ni UEFA, sio CAF, pili.....hayo ni mawazo ya makocha ya virabu mbalimbali wasasa na wazamani, hivyo kama mnaona haifai kakateni rufaa, mnaowataja ni bora ila mjue kuwa hawawezi kujaa wote hapo
 
thiery henry mnyama,,, nenda kawaulize madrd watakupa historia yke,, c mchozo aiseeeee
 
hahahahah Gerrad kwenye ubora wake anamuweka zizzou bench, hii list ni kituko
 
Bwahahahahaaaa! Hyo ni yako. Huwezi ukamwacha beki Franz Bechnabeur*....
Alafu pia mi naona hao wachezaji wote ni wa juzi. NA wanaosema De Lima yupo wapi, wakumbuke De Lima hakushinda uefa
 

Raul Gonzales yupo wapi hapo.... sio kweli, listi haiwez kukamilika bila huyo mtu.. Beckham wapi, Dida je anakosekana vp hapo
 
Gerrad>Seedorf, Pirlo
terry>Cannavaro, Hiero, Thiago Silva, Maldini,
henry>Raul, De lima, Del piero
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…