poposindege
JF-Expert Member
- Nov 22, 2010
- 453
- 175
UEFA imetangaza orodha ya wachezaji 18 walio bora zaidi kuwahi kucheza katika ligi ya mabingwa wa Ulaya.
Kwa mujibu wa orodha ya wachezaji 18 bora kucheza katika Champions League inajumuisha Wahispania 5, wachezaji 2 kutoka kila nchi za Brazil, Uingereza, Ufaransa na Italia, mchezaji mmoja kutoka Ujerumani, Czech Republic, Uswizi, Ureno na Argentina.
Katika 11 bora Ilker Casillas analinda lango.
Safu ya Ulinzi inashikiliwa na Sergio Ramos, Carlos Puyol, Alessandro Nesta na Philipp Lahm.
Viungo bora waliochaguliwa ni Steven Gerrard, Andres Iniesta na Xavi Hernandes.
Safu ya washambuliaji inashikiliwa na Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Thierry Henry.
Katika wachezaji saba mbadala waliokamilisha orodha ya wachezaji 18 bora ni Zinadine Zidane, Zlatan Ibrahimovic, Gianluigi Buffon, John Terry, Pev Nedved na Wabrazil Kaka na Ronaldinho.
Chanzo: michezo365
Kwa mujibu wa orodha ya wachezaji 18 bora kucheza katika Champions League inajumuisha Wahispania 5, wachezaji 2 kutoka kila nchi za Brazil, Uingereza, Ufaransa na Italia, mchezaji mmoja kutoka Ujerumani, Czech Republic, Uswizi, Ureno na Argentina.
Katika 11 bora Ilker Casillas analinda lango.
Safu ya Ulinzi inashikiliwa na Sergio Ramos, Carlos Puyol, Alessandro Nesta na Philipp Lahm.
Safu ya washambuliaji inashikiliwa na Cristiano Ronaldo, Lionel Messi na Thierry Henry.
Katika wachezaji saba mbadala waliokamilisha orodha ya wachezaji 18 bora ni Zinadine Zidane, Zlatan Ibrahimovic, Gianluigi Buffon, John Terry, Pev Nedved na Wabrazil Kaka na Ronaldinho.
Chanzo: michezo365