UEFA Zamani, sasa ni mfano tu.

Misimu mitano makombe matano still gaucho hakua mbaya kama unavyodhani
 

Ronaldo alitiwa mfukoni na Gatusso dakika 360. walizowahi kukutana. huwezi kumbuka dogo
 
Kuna ile hoja/dhana kutoka kwa mashabiki wengi kuwa, Ubora wa mchezaji unaonekana pale atakapocheza katika club mbalimbali tofauto ama za nchi mbalimbali zenye mifumo na itikadi tofauti za soka.

Kwa mfano Zidane, De Lima, Gaucho, Cr7 na wengine tofauti na Messi.

Unalizungumziaje hili?
 
Weye mrembo ni mwanamichezo kweli umefanya iwe rahisi sana mtu kukuelewa kila zama na kitabu chake waqt wa hao alowataja mabeki shupavu walipitwa na washambuliaji hodari mpira unapita katika nyakati na mbinu tofauti sana
 
mpira umeisha ladha,lukaku ananunuliwa kwa 70m+!!!...wanarukaruka tu
Huo ndio upuuzi uliopo siku hizi sio kiwango cha mchezaji kinachoamua thamani yake ila soko ndio linkulazimisha ununue hivyo ukiacha wenzio wanachukua ni ujinga wa hali ya juu
 
Mbona haikufanya maajabu kama hii ya kina CR7 ?

Time mkuu, Enzi zile kulikua na ushindani wa ukweli. Hivi sasa ulaya nzima timu za mana unazihesabu mastaa wote wamekusanyika kwenye timu chache.
 
Dogo umekua juzi weye inaonekanwa
Mtu kucheza zamani haimaanishi yeye ni bora kuliko wachezaji wa sasa tunaangalia statistics zao na hao unaosifia kisa wa zamani tu kwa uefa sina shaka na Ronaldo hata ukimlinganisha na. hao wa zamani
 
Hivi upo serious kuwa Madrid ya cr7 ilikuwa tishio kushinda ya akina raul zidane figo carlos kuwa makini na unachosema
Hivi tishio unamaanisha majina au matokeo? kwa upande wa matokeo ni wazi Madrid ya Cr7 Uefa ni bora kuliko hiyo ya kina Raul,zidane,de lima kwa ujumla wao
 
Kusema Real Madrid kachukua back to back uefa eti kisa vilabu vingine sio bora si kweli kuna vilabu vingi vimeshindwa fanya hivyo katika zama hizi Mfano, Barcelona,Juventus,Atletico,Bayern usifosi tuamini kuwa timu zimekuwa nyepesi kwahiyo ni madrid pekee ndio imebaki timu ngumu ulaya hadi ionee wengine na kwa uelewa wako kuanzia mwaka gani unahisi uefa imeanza kuwa nyepesi?
 
Inatamba vipi ulaya kaka wakati toka upo makundi mpaka fainali unakutana na first eleven iliyosheheni vipaji tupu tofauti na sasa...
Hiyo haiondoi ukweli kuwa wote hao hawana rekodi yoyote ya kutisha kuizid Madrid ya cr7 wanachozid ni ukongwe na Majina najua kuna kasumba ya kusifia sana vitu vikishapita ila hiyo isitufanye tubadili uhalisia najua miaka kumi ijayo maneno kama haya yatakuwepo na watu watakuwa wanazungumzia ubora wa kina Messi na Ronaldo kwa wakati huo
 
Hili ndilo linalowatesa wao majina ya zamani wanaona kama Miungu hao wachezaji anaowataja wengi ni wa kawaida tu sawa na kina lewandowsk,Aguero,suarez,De bruyne Neymar,Dybala na Mbappe wala sio wa maajabu kama wanavyotuaminisha
 
Hili ndilo linalowatesa wao majina ya zamani wanaona kama Miungu hao wachezaji anaowataja wengi ni wa kawaida tu sawa na kina lewandowsk,Aguero,suarez,De bruyne Neymar,Dybala na Mbappe wala sio wa maajabu kama wanavyotuaminisha


Kabisa kamanda, na records/Statistics zinajionyesha dhahiri lakini mmatumbi hakuelewi kabisa 😀😀
 
Mkuu miaka ambayo Real Madrid amechukua back to back, team nyingi zilikuwa hovyo,.lakini hata kiwango Cha team miaka hii kinapungua mno, atleat Madrid walikuwa na kikosi ambacho bado kilikuwa na binasaba vile. Hivi kwa akili zako unategemea Manchester hii ya kina Rashiford ilete ushindani. Angalia viwango vya timu Kama Chelsea, Juventus, Ac Milan, Arsenal, Intermilan n.k katika miaka aliyochukua Madrid vilikuwaje, halafu urudi useme neno!
 


Hawana hoja za msingi hao ni chuki tu zinawasumbua kamanda...kama ni hivyo basi Anelka aliecheza Klabu12 katika nchi 7 tofauti na hajachukua uchezaji bora hata moja..
 
Misimu mitano makombe matano still gaucho hakua mbaya kama unavyodhani


Hakuna aliesema mmbaya, alijitahidi kiasi chake ndani ya miaka mitatu, ila kumfananisha na hawa jamaa ni kosa kubwa sana

Messi
Maradona
Pele
Johan Cruiff
Alfredo de Stefano
Zidane
Cr7
Ferenc Puscas
Iniesta
Ronaldo 9
 
Hakuna aliesema mmbaya, alijitahidi kiasi chake ndani ya miaka mitatu, ila kumfananisha na hawa jamaa ni kosa kubwa sana

Messi
Maradona
Pele
Johan Cruiff
Alfredo de Stefano
Zidane
Cr7
Ferenc Puscas
Iniesta
Ronaldo 9
Mkuu Zidane alifanya nin cha maana kumshinda Dihno?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…