Uekezaji kwenye bodaboda

Nauza pikipiki Laki 5 na Desktop laki 1
Nicheki mapema 0769017151
Napatikana Dar

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kama huna cha muhimu cha kufanya na pesa yako iweke benki ukae ufikiri vzr, hivi kwanza unaanzaje kuiita shughuli ya boda boda eti ni biashara!
ha ha ha ha ha hawa vijana ni pasua kichwa ila nazani ni sababu ya elimu ndogo waliokua nayo bodaboda ni biashara kichaa hutakaa upate faida
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…