Nauza pikipiki Laki 5 na Desktop laki 1Habari za usiku ndugu zanguni,,,
Ngoja niende direct to the point.
Nataka kuwekeza kwenye bodaboda ila ni buashara ambayo sijawahi kumfanya wala kuiwaza.
Kuna jamaa mmoja kanishawishi ninunue pikipiki yeye ataniunganisha na dereva. Kila wiki nakula 70. Mkataba ni mwaka mmoja. Naomba yeyote mwenye utaalam na hii biashara anisaidie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Achana nayo! ItakufelishaSema mi kazi yangu hainiruhusu..
ha ha ha ha ha hawa vijana ni pasua kichwa ila nazani ni sababu ya elimu ndogo waliokua nayo bodaboda ni biashara kichaa hutakaa upate faidaMkuu kama huna cha muhimu cha kufanya na pesa yako iweke benki ukae ufikiri vzr, hivi kwanza unaanzaje kuiita shughuli ya boda boda eti ni biashara!