Uelewa wa mashabiki wa Yanga ni mdogo sana

Uelewa wa mashabiki wa Yanga ni mdogo sana

pwilo

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2015
Posts
10,913
Reaction score
13,876
Habari za wakati huu mashabiki wa kandanda Tanzania pamoja na East Africa kwa ujumla.

Nchini kwetu tumebarikiwa kuwa na league bora na yenye ushindani kushinda zote afrika mashariki ila Simba na Yanga wakiwa wakubwa katika kulitangaza soka la Tanzania japokuwa baadhi ya mashabiki wa hizi team ni bendera fuata upepo hasa wa yanga kwasababu zifuatazo:‐

Mashabiki wa Yanga kwenda airport kuwapokea wageni wanaokuja kucheza na Simba huo ni umbumbu wa hali ya juu kutokea kwa mashabiki hao.

Kufarahia usajili wa Morrison licha ya matusi dharau na kejeli zote alizowafanyia na hela wakamlipa kama fidia kumbuka duniani kote hakuna mchezaji mkubwa kushinda club.

Kukubali na kuaminishwa kuwa wameshinda treble wakati kisheria wameshinda makombe mawili maana lile la ngao ya jamii halihesabiki kama ni kombe maana sio competition ni mechi ya ufunguzi tu.

Kudanganywa kuwa team yao haianzi hatua ya awali katika CAF is league na wakakubali mpaka walipofafanuliwa vizuri na mashabiki wa Simba SC.

Kumpokea Manara licha ya kuwatukana na kuwakejeli alipokuwa Simba na kusema mashabiki wa Yanga wenye akili ni mzee Kikwete na babaake Manara tu.

Kumponda kocha wa Simba kuwa huduma na team wakasahau kocha wao wa Yanga hajawahi kudumu kwa zaidi ya miezi sita kwenye team huku Yanga ikiwa team ya kwanza kwa kocha Nabi kuhudumu kwa muda mrefu.

Kuponda kila kitu kinachoanzishwa na Simba na Yanga baadae wanaiga kwa kufanya walichokuwa wanaponda mfano (SIMBA DAY,UJENZI WA UWANJA,MFUMO WA MABADILIKO WA UENDESHAJI TEAM. NK)

Kwenda airport kuwabeba wachezaji waliosajiliwa na team yao pamoja na mwenyekiti wao ambaye sasa ni Rais wa club ndugu zangu wenye akili timamu hawawezi kufanya hayo.

Kushangilia usajili wa wazee katika club yao wakati huo huo wanataka kufanya vizuri Kimataifa wakisahau kuwa vijana ndo nguzo muhimu katika soka la sasa huku wakiwaponda Simba wakisajili vijana wakidai akili zao hazijakomaa hawaoni ulaya kule,
MAN CITY, BARCELONA NA REAL MADRID wamejaa watoto kibao hiyo yote ni kwa malengo ya muda mrefu sio mnaokata wachezaji waliokosa team ambao hawajacheza muda mrefu ndo mnasajili kweli Manara na Lucy Aymel hawakukosea kuwaita nyani na mazuzu.

Nawakumbusha tu wana Yanga kimataifa kule hakuna mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa anayeahidi kuwapa million 10 wachezaji wakiifunga SIMBA.

NB: Yanga ikishinda hata mechi moja kimataifa mje mnikamate nimekaa pale kwenye maduka ya Simba Kkoo.
 
Kufarahia usajili wa Morrison licha ya matusi dharau na kejeli zote alizowafanyia na hela wakamlipa kama fidia kumbuka duniani kote hakuna mchezaji mkubwa kushinda club.

.

Alivyokuwa akikebehi Yanga SC baada ya kushinda Keshi mlimpa adhabu gani kama klabu?

Alivyomchoma bisibisi mshabiki baada ya kutaniwa mlimpa adhabu gani?

Je mlimvunjia mkataba?

Kama HAKUNA kilicho fanyika usijielezee sana.
 
NB: yanga ikishinda hata mechi moja kimataifa mje mnikamate nimekaa pale kwenye maduka ya Simba kkoo.

Nakuunga mkono unachosema.

Tangu mwaka 1935 Yanga SC iasusiwe mpaka hii leo HAIJAWAHI kushinda hata mechi moja kwenye michuano ya CAF.

Hivyo basi haitokuja kushinda hata mechi moja MPAKA Yesu atakapo rudi.
 
Kukubali na kuaminishwa kuwa wameshinda treble wakati kisheria wameshinda makombe mawili maana lile la ngao ya jamii halihesabiki kama ni kombe maana sio competition ni mechi ya ufunguzi tu.

.

Sheria zikatumike MAHAKAMANI.

Sisi tumeshinda mataji 3 na mataji 3 kwa kimombo inaitwa TREBLE.

Hilo halitobadilika.
 
Habari za wakati huu mashabiki wa kandanda Tanzania pamoja na East Africa kwa ujumla.

Nchini kwetu tumebarikiwa kuwa na league bora na yenye ushindani kushinda zote afrika mashariki ila Simba na Yanga wakiwa wakubwa katika kulitangaza soka la Tanzania japokuwa baadhi ya mashabiki wa hizi team ni bendera fuata upepo hasa wa yanga kwasababu zifuatazo:‐

Mashabiki wa yanga kwenda airport kuwapokea wageni wanaokuja kucheza na Simba huo ni umbumbu wa hali ya juu kutokea kwa mashabiki hao.

Kufarahia usajili wa Morrison licha ya matusi dharau na kejeli zote alizowafanyia na hela wakamlipa kama fidia kumbuka duniani kote hakuna mchezaji mkubwa kushinda club.

Kukubali na kuaminishwa kuwa wameshinda treble wakati kisheria wameshinda makombe mawili maana lile la ngao ya jamii halihesabiki kama ni kombe maana sio competition ni mechi ya ufunguzi tu.

Kudanganywa kuwa team yao haianzi hatua ya awali katika CAF is league na wakakubali mpaka walipofafanuliwa vizuri na mashabiki wa Simba SC.

Kumpokea manara licha ya kuwatukana na kuwakejeli alipokuwa Simba na kusema mashabiki wa yanga wenye akili ni mzee kikwete na babaake manara tu.

Kumponda kocha wa simba kuwa huduma na team wakasahau kocha wao wa yanga hajawahi kudumu kwa zaidi ya miezi sita kwenye team huku yanga ikiwa team ya kwanza kwa kocha nabi kuhudumu kwa muda mrefu.

Kupondo kila kitu kinachoanzishwa na simba na yanga baadae wanaiga kwa kufanya walichokuwa wanaponda mfano (SIMBA DAY,UJENZI WA UWANJA,MFUMO WA MABADILIKO WA UENDESHAJI TEAM. NK)


Kwenda airport kuwabeba wachezaji waliosajiliwa na team yao pamoja na mwenyekiti wao ambaye sasa ni raisi wa club ndugu zangu wenye akili timamu hawawezi kufanya hayo.

Kushangilia usajili wa wazee katika club yao wakati huo huo wanataka kufanya vizuri kimataifa wakisahau kuwa vijana ndo nguzo muhimu katika soka la sasa huku wakiwaponda simba wakisajili vijana wakidai akili zao hazijakomaa hawaoni ulaya kule,
MAN CITY,BARCELONA NA REAL MADRID wamejaa watoto kibao hyo yote ni kwa malengo ya mda mrefu sio mnaokata wachezaji waliokosa team ambao hawajacheza mda mrefu ndo mnasajili kweli manara na lucy aymel hawakukosea kuwaita nyani na mazuzu.

Nawakumbusha tu wana yanga kimataifa kule hakuna mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa anayeahidi kuwapa million 10 wachezaji wakiifunga SIMBA.

NB: yanga ikishinda hata mechi moja kimataifa mje mnikamate nimekaa pale kwenye maduka ya Simba kkoo.
Wote mashabiki wa simba na yanga ni pipa na mfuniko wake hata nyie simba ni mambumbumbu pia maana mashabiki wanaojielewa hawawezi kuchangishwa hela ya ujenzi wa uwanja na mwekezaji mwenye asilimia 49 huku yeye akitoa billioni 2 badala ya kuchangia asilimia 49 ya mchango wa ujenzi wa uwanja kulingana na asilimia zake kama sheria za makampuni zinavyosema
 
Kushangilia usajili wa wazee katika club yao wakati huo huo wanataka kufanya vizuri kimataifa wakisahau kuwa vijana ndo nguzo muhimu katika soka la sasa huku wakiwaponda simba wakisajili vijana wakidai akili zao hazijakomaa hawaoni ulaya.

Kama Vijana ni nguzo muhimu katika soka MUONDOENI Onyango na mrudisheni Mlipili Jr.
 
Wote mashabiki wa simba na yanga ni pipa na mfuniko wake hata nyie simba ni mambumbumbu pia maana mashabiki wanaojielewa hawawezi kuchangishwa hela ya ujenzi wa uwanja na mwekezaji mwenye asilimia 49 huku yeye akitoa billioni 2 badala ya kuchangia asilimia 49 ya mchango wa ujenzi wa uwanja kulingana na asilimia zake kama sheria za makampuni zinavyosema

IMG_0630.jpg
 
Alivyokuwa akikebehi Yanga SC baada ya kushinda Keshi mlimpa adhabu gani kama klabu?

Alivyomchoma bisibisi mshabiki baada ya kutaniwa mlimpa adhabu gani?

Je mlimvunjia mkataba?

Kama HAKUNA kilicho fanyika usijielezee sana.
Adhabu aliyopewa na simba ni kupunguziwa mshahara na mwisho akaachwa bila team hakuna mchezaji mkubwa kushinda club duniani kote simba to the next level sio mchezaji anajiona yeye hawezi kufanywa lolote Morrison licha ya kuwasaidia simba kwenye CAF champion's league lakini wamemuacha hayo ndo mabadiliko tunayo yataka kwenye soka la Tanzania.
 
Sheria zikatumike MAHAKAMANI.

Sisi tumeshinda mataji 3 na mataji 3 kwa kimombo inaitwa TREBLE.

Hilo halitobadilika.
Ndo yalele naona unathibitisha nilichoandika kweli ni the return of the champions.
 
Nakuunga mkono unachosema.

Tangu mwaka 1935 Yanga SC iasusiwe mpaka hii leo HAIJAWAHI kushinda hata mechi moja kwenye michuano ya CAF.

Hivyo basi haitokuja kushinda hata mechi moja MPAKA Yesu atakapo rudi.
Imeisha hiyo
 
Habari za wakati huu mashabiki wa kandanda Tanzania pamoja na East Africa kwa ujumla.

Nchini kwetu tumebarikiwa kuwa na league bora na yenye ushindani kushinda zote afrika mashariki ila Simba na Yanga wakiwa wakubwa katika kulitangaza soka la Tanzania japokuwa baadhi ya mashabiki wa hizi team ni bendera fuata upepo hasa wa yanga kwasababu zifuatazo:‐

Mashabiki wa yanga kwenda airport kuwapokea wageni wanaokuja kucheza na Simba huo ni umbumbu wa hali ya juu kutokea kwa mashabiki hao.

Kufarahia usajili wa Morrison licha ya matusi dharau na kejeli zote alizowafanyia na hela wakamlipa kama fidia kumbuka duniani kote hakuna mchezaji mkubwa kushinda club.

Kukubali na kuaminishwa kuwa wameshinda treble wakati kisheria wameshinda makombe mawili maana lile la ngao ya jamii halihesabiki kama ni kombe maana sio competition ni mechi ya ufunguzi tu.

Kudanganywa kuwa team yao haianzi hatua ya awali katika CAF is league na wakakubali mpaka walipofafanuliwa vizuri na mashabiki wa Simba SC.

Kumpokea manara licha ya kuwatukana na kuwakejeli alipokuwa Simba na kusema mashabiki wa yanga wenye akili ni mzee kikwete na babaake manara tu.

Kumponda kocha wa simba kuwa huduma na team wakasahau kocha wao wa yanga hajawahi kudumu kwa zaidi ya miezi sita kwenye team huku yanga ikiwa team ya kwanza kwa kocha nabi kuhudumu kwa muda mrefu.

Kupondo kila kitu kinachoanzishwa na simba na yanga baadae wanaiga kwa kufanya walichokuwa wanaponda mfano (SIMBA DAY,UJENZI WA UWANJA,MFUMO WA MABADILIKO WA UENDESHAJI TEAM. NK)


Kwenda airport kuwabeba wachezaji waliosajiliwa na team yao pamoja na mwenyekiti wao ambaye sasa ni raisi wa club ndugu zangu wenye akili timamu hawawezi kufanya hayo.

Kushangilia usajili wa wazee katika club yao wakati huo huo wanataka kufanya vizuri kimataifa wakisahau kuwa vijana ndo nguzo muhimu katika soka la sasa huku wakiwaponda simba wakisajili vijana wakidai akili zao hazijakomaa hawaoni ulaya kule,
MAN CITY,BARCELONA NA REAL MADRID wamejaa watoto kibao hyo yote ni kwa malengo ya mda mrefu sio mnaokata wachezaji waliokosa team ambao hawajacheza mda mrefu ndo mnasajili kweli manara na lucy aymel hawakukosea kuwaita nyani na mazuzu.

Nawakumbusha tu wana yanga kimataifa kule hakuna mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa anayeahidi kuwapa million 10 wachezaji wakiifunga SIMBA.

NB: yanga ikishinda hata mechi moja kimataifa mje mnikamate nimekaa pale kwenye maduka ya Simba kkoo.
Crap/trash [emoji2781]
 
Habari za wakati huu mashabiki wa kandanda Tanzania pamoja na East Africa kwa ujumla.

Nchini kwetu tumebarikiwa kuwa na league bora na yenye ushindani kushinda zote afrika mashariki ila Simba na Yanga wakiwa wakubwa katika kulitangaza soka la Tanzania japokuwa baadhi ya mashabiki wa hizi team ni bendera fuata upepo hasa wa yanga kwasababu zifuatazo:‐

Mashabiki wa yanga kwenda airport kuwapokea wageni wanaokuja kucheza na Simba huo ni umbumbu wa hali ya juu kutokea kwa mashabiki hao.

Kufarahia usajili wa Morrison licha ya matusi dharau na kejeli zote alizowafanyia na hela wakamlipa kama fidia kumbuka duniani kote hakuna mchezaji mkubwa kushinda club.

Kukubali na kuaminishwa kuwa wameshinda treble wakati kisheria wameshinda makombe mawili maana lile la ngao ya jamii halihesabiki kama ni kombe maana sio competition ni mechi ya ufunguzi tu.

Kudanganywa kuwa team yao haianzi hatua ya awali katika CAF is league na wakakubali mpaka walipofafanuliwa vizuri na mashabiki wa Simba SC.

Kumpokea manara licha ya kuwatukana na kuwakejeli alipokuwa Simba na kusema mashabiki wa yanga wenye akili ni mzee kikwete na babaake manara tu.

Kumponda kocha wa simba kuwa huduma na team wakasahau kocha wao wa yanga hajawahi kudumu kwa zaidi ya miezi sita kwenye team huku yanga ikiwa team ya kwanza kwa kocha nabi kuhudumu kwa muda mrefu.

Kupondo kila kitu kinachoanzishwa na simba na yanga baadae wanaiga kwa kufanya walichokuwa wanaponda mfano (SIMBA DAY,UJENZI WA UWANJA,MFUMO WA MABADILIKO WA UENDESHAJI TEAM. NK)


Kwenda airport kuwabeba wachezaji waliosajiliwa na team yao pamoja na mwenyekiti wao ambaye sasa ni raisi wa club ndugu zangu wenye akili timamu hawawezi kufanya hayo.

Kushangilia usajili wa wazee katika club yao wakati huo huo wanataka kufanya vizuri kimataifa wakisahau kuwa vijana ndo nguzo muhimu katika soka la sasa huku wakiwaponda simba wakisajili vijana wakidai akili zao hazijakomaa hawaoni ulaya kule,
MAN CITY,BARCELONA NA REAL MADRID wamejaa watoto kibao hyo yote ni kwa malengo ya mda mrefu sio mnaokata wachezaji waliokosa team ambao hawajacheza mda mrefu ndo mnasajili kweli manara na lucy aymel hawakukosea kuwaita nyani na mazuzu.

Nawakumbusha tu wana yanga kimataifa kule hakuna mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa anayeahidi kuwapa million 10 wachezaji wakiifunga SIMBA.

NB: yanga ikishinda hata mechi moja kimataifa mje mnikamate nimekaa pale kwenye maduka ya Simba kkoo.
Tuambie nyie hii treble yenu ilikua na makombe gani kenge wewe
IMG_20220712_190125.jpg
 
Habari za wakati huu mashabiki wa kandanda Tanzania pamoja na East Africa kwa ujumla.

Nchini kwetu tumebarikiwa kuwa na league bora na yenye ushindani kushinda zote afrika mashariki ila Simba na Yanga wakiwa wakubwa katika kulitangaza soka la Tanzania japokuwa baadhi ya mashabiki wa hizi team ni bendera fuata upepo hasa wa yanga kwasababu zifuatazo:‐

Mashabiki wa yanga kwenda airport kuwapokea wageni wanaokuja kucheza na Simba huo ni umbumbu wa hali ya juu kutokea kwa mashabiki hao.

Kufarahia usajili wa Morrison licha ya matusi dharau na kejeli zote alizowafanyia na hela wakamlipa kama fidia kumbuka duniani kote hakuna mchezaji mkubwa kushinda club.

Kukubali na kuaminishwa kuwa wameshinda treble wakati kisheria wameshinda makombe mawili maana lile la ngao ya jamii halihesabiki kama ni kombe maana sio competition ni mechi ya ufunguzi tu.

Kudanganywa kuwa team yao haianzi hatua ya awali katika CAF is league na wakakubali mpaka walipofafanuliwa vizuri na mashabiki wa Simba SC.

Kumpokea manara licha ya kuwatukana na kuwakejeli alipokuwa Simba na kusema mashabiki wa yanga wenye akili ni mzee kikwete na babaake manara tu.

Kumponda kocha wa simba kuwa huduma na team wakasahau kocha wao wa yanga hajawahi kudumu kwa zaidi ya miezi sita kwenye team huku yanga ikiwa team ya kwanza kwa kocha nabi kuhudumu kwa muda mrefu.

Kupondo kila kitu kinachoanzishwa na simba na yanga baadae wanaiga kwa kufanya walichokuwa wanaponda mfano (SIMBA DAY,UJENZI WA UWANJA,MFUMO WA MABADILIKO WA UENDESHAJI TEAM. NK)


Kwenda airport kuwabeba wachezaji waliosajiliwa na team yao pamoja na mwenyekiti wao ambaye sasa ni raisi wa club ndugu zangu wenye akili timamu hawawezi kufanya hayo.

Kushangilia usajili wa wazee katika club yao wakati huo huo wanataka kufanya vizuri kimataifa wakisahau kuwa vijana ndo nguzo muhimu katika soka la sasa huku wakiwaponda simba wakisajili vijana wakidai akili zao hazijakomaa hawaoni ulaya kule,
MAN CITY,BARCELONA NA REAL MADRID wamejaa watoto kibao hyo yote ni kwa malengo ya mda mrefu sio mnaokata wachezaji waliokosa team ambao hawajacheza mda mrefu ndo mnasajili kweli manara na lucy aymel hawakukosea kuwaita nyani na mazuzu.

Nawakumbusha tu wana yanga kimataifa kule hakuna mkuu wa wilaya wala mkuu wa mkoa anayeahidi kuwapa million 10 wachezaji wakiifunga SIMBA.

NB: yanga ikishinda hata mechi moja kimataifa mje mnikamate nimekaa pale kwenye maduka ya Simba kkoo.
Ismail Aden Rage alikuwa sahihi kabisa kuwaita mbumbumbu.
 
Tuambie nyie hii treble yenu ilikua na makombe gani kenge weweView attachment 2288173
Bwege kweli treble alimaanisha ni kuchukua kombe msimu mitatu mfululizo hivi mashabiki wa yanga akili zenu ni za kuvukia bara bara tu halafu yule albino ndo anawaingiza chaka hamjui yule ni simba yupo pale kama lowasa alivyoenda chadema tu anawachora.
 
Bwege kweli treble alimaanisha ni kuchukua kombe msimu mitatu mfululizo hivi mashabiki wa yanga akili zenu ni za kuvukia bara bara tu halafu yule albino ndo anawaingiza chaka hamjui yule ni simba yupo pale kama lowasa alivyoenda chadema tu anawachora.
Kumbe naongea na mkündyu[emoji3525][emoji3525] moron
 
Back
Top Bottom